Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Kwa kip mkuu anachojua kuliko Messi Unajua mkuu mm namuheshimu dinho na nautambua mchango wake kwenye soka mpaka sasa bdo najtahd kumfatilia sasa tatzo liko hapa kwa kufananishwa na messi maana hvo vitu hamvitaji ambavyo kampita messi ila mnaishia kumpamba tu
Barca ilipigwa goli nne na Messi akiwa uwanjani....hii ushtukii??
hakuwa fit na ndio 7bu mechi ya pili hakucheza
utabiri wako katika fainali hizi za uefa ni timu ipi itabeba ubingwa?
Iniesta,Busquets,Xavi,Pique,Pedro na Alba(wakiwa kama FC Barcelona) wapo wamebeba makombe yote dunia,ulaya,klabu bingwa ulaya,klabu bingwa dunia,sasa nitajiena mchezaji gani wa AC Milan yoyote wa sasa kabeba makombe hayo yote,muulizeni hata anti-Messi Gang Chomba nae awasaidie mana najua yeye ndie kachokonoa ila kupitia mlango wa uani.
Iniesta,Busquets,Xavi,Pique,Pedro na Alba(wakiwa kama FC Barcelona) wapo wamebeba makombe yote dunia,ulaya,klabu bingwa ulaya,klabu bingwa dunia,sasa nitajiena mchezaji gani wa AC Milan yoyote wa sasa kabeba makombe hayo yote,muulizeni hata anti-Messi Gang Chomba nae awasaidie mana najua yeye ndie kachokonoa ila kupitia mlango wa uani.
Hajabeba kombe la duniaGabriel Paretta...
hajabeba klabu bingwa la bara lolote eg ulaya(UEFA champs ligi)au Africa ,au Asia au sudamericano nk.pia cheki na christian Zaccardo...but am not sure 100%