Hawa ndio mabingwa wa Klabu bingwa Ulaya tangu kuanzishwa kwake



unatumia nguvu nyiingi kubishana na Mungu...

kauli ya wengi ni kauli ya Mungu yakhe...

unapoelekea ni kutia aibu ya Karne
 
hakuwa fit na ndio 7bu mechi ya pili hakucheza


wacha porojo zako za Muhidin Ndolanga na FAT...
wazungu kama mchezaji hayupo fit basi hawamchezeshi, na ndio maana hata mchezaji akiwa na Flu hachezi.

NB: Flu ni Makamasi...umenielewa?
 


Gabriel Paretta...
 


pia cheki na christian Zaccardo...but am not sure 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…