Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Kwa kip mkuu anachojua kuliko Messi Unajua mkuu mm namuheshimu dinho na nautambua mchango wake kwenye soka mpaka sasa bdo najtahd kumfatilia sasa tatzo liko hapa kwa kufananishwa na messi maana hvo vitu hamvitaji ambavyo kampita messi ila mnaishia kumpamba tu
unatumia nguvu nyiingi kubishana na Mungu...
kauli ya wengi ni kauli ya Mungu yakhe...
unapoelekea ni kutia aibu ya Karne