Hawa ndio mabingwa wa Klabu bingwa Ulaya tangu kuanzishwa kwake

Hawa ndio mabingwa wa Klabu bingwa Ulaya tangu kuanzishwa kwake

Gaucho ndio Soka lenyewe na Soka ndio Gaucho mwenyewe,so asiempenda Gaucho hapendi wala hajui Soka. Kuna watu wawili humu ndani i.e Aleyn na PNC 1 hawajui Mpira/Soka bali wanamfahamu Messi tuu.

mkuu hebu tujuze mimi na Aleyn vitu ambavyo messi hana na gaucho anavyo maana umesahau kuwa ulishasemaga ukitajiwa kuwa tangu dinho awr barca ni kombe gani ambalo messi katwaa na yeye dinho hajatwaa na ukasema ukitajiwa hayo utafunga mkataba kuwa messi ni bora zaidi ya dinho ila leo umesahau mkuu TUNASUBIRI KUJUZWA
 
Last edited by a moderator:
Tukizungumzia ufundi wa kucheza na ndinga na kufanya mambo adimu, Gaucho hana mpinzani....Mfalme fundi wa Soka
Kucheza na ndinga kivip mkuu na mambo adimu yapi hayo maana hata mechi ya juz jumamosi yale mambo messi aliyofanya sio adimu au na bayern sio adimu NIELEWESHE MKUU ADIMU KIVP NA KUCHEZA NA NDINGA KIVP
 
Ata mimi nasema Gaucho kiboko yao,sijawai kuona wala kusikia mtu anayejua mpila kama yeye..

Kwa kip mkuu anachojua kuliko Messi Unajua mkuu mm namuheshimu dinho na nautambua mchango wake kwenye soka mpaka sasa bdo najtahd kumfatilia sasa tatzo liko hapa kwa kufananishwa na messi maana hvo vitu hamvitaji ambavyo kampita messi ila mnaishia kumpamba tu
 
ha ha ha ha ha ha ha nabii wa uongo LEO MESSI mzaliwa wa Rosario Argentina anayesubiria balon dor ya 5 anakuwa amechukua mara mbili zaid ya pele na mara 3 zaid ya dinho ambaye juzi timu yake imepigwa 5 bila na Santos laguna ya mexico huku yeye akiwepo uwanjani
Barca ilipigwa goli nne na Messi akiwa uwanjani....hii ushtukii??
 
Arsenal mbona siwaoni humo?!!!!!

wakikupa majibu naomba unitumie na mimi mkuu, nimejaribu kutafuta mtandaoni kwa kutumia search engine zote kuanzia bing to google zote hazina majibu "why arse8 have no ucl tittle"
 
[h=1]Ronaldinho is the greatest I ever played with, says Henrik Larsson[/h]
 
wakikupa majibu naomba unitumie na mimi mkuu, nimejaribu kutafuta mtandaoni kwa kutumia search engine zote kuanzia bing to google zote hazina majibu "why arse8 have no ucl tittle"


mafanikio yao ni kucheza fainal
 
mkuu hebu tujuze mimi na Aleyn vitu ambavyo messi hana na gaucho anavyo maana umesahau kuwa ulishasemaga ukitajiwa kuwa tangu dinho awr barca ni kombe gani ambalo messi katwaa na yeye dinho hajatwaa na ukasema ukitajiwa hayo utafunga mkataba kuwa messi ni bora zaidi ya dinho ila leo umesahau mkuu TUNASUBIRI KUJUZWA

Messi amewahi kuchukua World Cup yoyote ile hata ile ya u17 au u20?
 
Last edited by a moderator:
Messi amewahi kuchukua World Cup yoyote ile hata ile ya u17 au u20?
Iniesta,Busquets,Xavi,Pique,Pedro na Alba(wakiwa kama FC Barcelona) wapo wamebeba makombe yote dunia,ulaya,klabu bingwa ulaya,klabu bingwa dunia,sasa nitajiena mchezaji gani wa AC Milan yoyote wa sasa kabeba makombe hayo yote,muulizeni hata anti-Messi Gang Chomba nae awasaidie mana najua yeye ndie kachokonoa ila kupitia mlango wa uani.
 
mkuu hebu tujuze mimi na Aleyn vitu ambavyo messi hana na gaucho anavyo maana umesahau kuwa ulishasemaga ukitajiwa kuwa tangu dinho awr barca ni kombe gani ambalo messi katwaa na yeye dinho hajatwaa na ukasema ukitajiwa hayo utafunga mkataba kuwa messi ni bora zaidi ya dinho ila leo umesahau mkuu TUNASUBIRI KUJUZWA


1. medali ya kombe la Dunia
2. medali ya Copa America
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom