Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisiga yupo prisons mkuu na huwa anacheza1.Kisiga,Agrey,Henry Joseph hawachezi tena mzee baba,
Salum Kanoni bado anakipiga mbona hatumuoni......wenzake wa umri mmoja walishatundiga daluga zamani waliocheza nae Kigoma united enzi za Reli na MMabanga.....wadogo wakina Matola na Said Maulid,Juma Kaseja.
Ila Kaseja ana udongo mzuri mzee haonekani kuzeeka kabisa sijui bado yupo Kmc....kuna siku ndugu yake yupo SA alimtumia hela jamaa akaja kijiweni kuchukua bado anadai kabisa.
Ila Kaseja ana udongo mzuri mzee haonekani kuzeeka kabisa sijui bado yupo Kmc....kuna siku ndugu yake yupo SA alimtumia hela jamaa akaja kijiweni kuchukua bado anadai kabisa.
sio kweli..kisiga hayupo prisons
Mbona umepika data sana?umewasahahu
kapombe 37
zimbwe 34
mkude 35
boko 43
ntibazonkiza 42
nyoni 45
kibu denis 42
onyanga 43
baleke 37
phiri 34
chama 39
mzamiru 38
hayupo ligi kuu mkuu, tuko nae kwenye ndondoWakulungwa wanasema yupo wajelajela...
Huwa sitazami mpira wa bongo kwa sasa zaidi ya kuufuatilia mitandaoni, hivyo sina uhakika
Lengo lilikuwa kuharbu thead ya watu na kaweza.Maana matusi na kebehi zimetamalaki.We ni maku umeandika kishabiki,kapombe hana umri huo,acha utopolo
Kwa mtu msomi hawezi kutumia Wikipedia kama Primary source...Web ambayo kila mtu ana weza editeMbona umepika data sana?
Nimeingia Wikipedia ya chama na Boko hapo umeandika uongo tupu
Mechi ya Yanga vs Prison ya FA mwezi wa tatu mwaka huu uliiangalia?hayupo ligi kuu mkuu, tuko nae kwenye ndondo
Mnachuki binafsi na yeye ,,, Mzamiru kipindi anacheza mtibwa 2015/16 ndio alitoka kumaliza form 6,,Sasa umlinganishe na akina Mauya au sixtus mapunda?Bila mzamiru hii list ni batili
Kisiga yupo anacheza ndugu Tanzania Prison. Mpira ni nidhamu ya mwili na akili.1.Kisiga,Agrey,Henry Joseph hawachezi tena mzee baba,
Salum Kanoni bado anakipiga mbona hatumuoni......wenzake wa umri mmoja walishatundiga daluga zamani waliocheza nae Kigoma united enzi za Reli na MMabanga.....wadogo wakina Matola na Said Maulid,Juma Kaseja.
Ila Kaseja ana udongo mzuri mzee haonekani kuzeeka kabisa sijui bado yupo Kmc....kuna siku ndugu yake yupo SA alimtumia hela jamaa akaja kijiweni kuchukua bado anadai kabisa.
ni kweli mkuu..ameongezwa januaryMechi ya Yanga vs Prison ya FA mwezi wa tatu mwaka huu uliiangalia?
Kisiga alicheza
We unaamini hizo under 20 za Simba,yanga , Azam ni za kweli!?Hapana kapombe alianza Simba 2011 akiwa U20 hadi 2013 akaenda Cean ya frech na 2014 akajiunga na Azam ,,,2017 akarudi Simba.....
Kati ya watu naamini miaka yao bongo ni kapombe 31,ni haki yake
Hapo ingepita kipimo walikua wanaumbuka woteN
alikua u20 ya stars kipindi hicho na akina kigi makasi,,Mrisho ngasa,Said Dilunga
Nurdin bakari hakuwemo!?..maana Serengeti 2004 alituponza tukapokwa nafasi,alikua na 23 kwa nyaraka za Simba alizotumia CAF, Serengeti akawa na 17
Alikuwa anasoma Lupanga SS miaka ya 2000 katikati kabla hakahamia Dar kisokaHaahaaaaa, hii list umeamua tu kutania ila sidhami kama hao wana umri huo. Kapombe namuona 2009 au 2010 akiwa Moro kids then akasajiliwa Simba Msimu huo mi nikiwa SUA pale Morogoro hawezi kuwa na umri huo. Mi mwenyewe na 36 then kapombe awe na umri huo. Hapana bro.