Hawa ndio Members wa JF wenye contents katika nyanja mbalimbali

Kuna njemba mmoja anaitwa Nguchiro yy huwa anachungulia chungulia tu but ni memba poa sana
 
Mbona hujamuweka Mshana Jr , Huyu ni moja kati ya members wenye mchango mkubwa sana na pia ni mtu mwenye Credibility kubwa sana humu Jf , ila sio bure itakuwa ww ni mgeni humu au umeamua kuelemea kwenye mrengo fulani tu kwenye hiyo list yako.
 
Kama jina lako lilivyo mkuu
Mkuu unaelewa maana ya jina langu? Hayo ni majina ya Africa magharibi,kwa nchi kama Nigeria,Mali,ila hili langu asili yake ni Sierra Leon, maana yake ni"Head of circumcisers" au kwa kiswahili "ngariba mkuu"
 
karibu forum kwanza. Ukisema nyanja mbali mbali unatakiwa uitaje nyenja na watu mahiri kwenye nyanja hiiyoo cha kushangaza si jaziona ivo mfano
- nyanja ya cosmology,na space useme labda kiranga na lifecode.
-Nyanja ya mila ,utamaduni na na nguvu za kiroho useme mshana jr labda na Rakims.
-nyanja ya vyombo vya usafiri extrovert na prondo .
sasa unaandika andika tu hovyoo hovyo kijana vp
 
Sijasoma sana maandika yake, Specialize yake masuala ya Giza naona uvivu kupitia kitu kingine yupo General kuandika vitu tofautitofauti Randomly.

What is great thinking? Who are the great thinkers?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…