Hawa ndio Members wa JF wenye contents katika nyanja mbalimbali

Hawa ndio Members wa JF wenye contents katika nyanja mbalimbali

Pdidy ana mwandiko mbaya sana aisee, cha kushangaza ukimkosoa wadau wanakujia juu eti kwa nini unakosoa mwandiko wa Pdidy[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Labda ni taasisi kama jiwe
 
Sawa mkuu ila apo ukuangalia kila Jukwaa nenda Siasa utaona mengi
 
😂😂 Mkuu nakuomba fatilia wengine kwangu hutaambulia kitu kwakweli! Labda Kama unamuda wa kupoteza hapo sawa lkn kwa content za muhimu hapa umekosea!..
Eti ananiacha mimi...duuh
 
Kuna yule jamaa alikuwa wa kwanza kuchangia kila uzi wa kila member hata kama ni usiku wa manane sijui alipotelea wapi, nilitegemea angekuwa kwenye orodha kwakuwa alichangia kila uzi wa kila member kila wakati
[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38]
 
Mkuu unaelewa maana ya jina langu? Hayo ni majina ya Africa magharibi,kwa nchi kama Nigeria,Mali,ila hili langu asili yake ni Sierra Leon, maana yake ni"Head of circumcisers" au kwa kiswahili "ngariba mkuu"
Na kulikuwa na ID yenye jina Ngariba mkuu seems ulipigwa ban ukaregister kwa tafsiri hiyo ya ki west africa
 
Hawa ni baadhi ya member wenye Contents nyingi sana kwenye baadhi ya nyanja za maisha, kunaweza kukawa na wengine ila hawa ndio nime wang'amua kwa.

Vigezo nilivyotumia
1) KuSpecilze nyanja fulani
2) Kuandika Contents zilizo na information nyingi na details za kutosha.
3) Kubeba maono

Wyatt Mathewson
Huyu content za kibabe (Capitalist) zenye maono sana ukiisoma misimamo ya huyu inakujenga kuwa strong sana kwenye masuala ya uchumi na maisha.

Nafaka
Huyu ana Content zinazohitajika dunia ya sasa, kwenye Content za Online Money Making, Content za maisha ya kiuchumi na mambo ya pesa kiujumla contents nyingi.

GLOBAL CITIZEN
Huyu ndio Father WA Online Business, ana contents zenye ujazo Sana na anaamini kama upo good kwenye kitu fulani usifanye for free.

C.T.U
Huyu Contents zinazohusu Startup, Online Software, Kampuni zenye mlengwa wa Silicon Valley yupo vizuri sana, yupo vizuri kwenye Calculation za namba Za projects.

Mwl.RCT
Moja katika watu wanaoheshimika sana, kwenye nyanja ya online shopping na uwanda mzima wa online Business.

Chief-Mkwawa
When it come to technology mambo ya hardware na software simu na computer huyu mwisho, anaelezea simu vikarabwasha mpaka unajiona mweupe, He is Search Engine at that area. Tukizungumzia ujazo wa details huu mfano mahsusi.

T14 Armata
Huyu haja-base kuanzisha nyuzi contents zake utaziona kwenye reply zake na content nyingi sana za masuala kijeshi, Biashara na mtu aliye Update sana na kinachoendelea Duniani.

Da'Vinci
Huyu ni konyo sijui anaishi vipi kama Content huyu bwana ni maktaba, anasoma sana huyu jamaa.

Habibu B. Anga
Huyu ndio Father of Content jukwaani.

Hawa wanaeleza kitu in details, numbers na mifano ukifuatilia nyuzi aunt reply zao zimeshiba contents.

Wengine nimewasaau nitawaweka.
Mleta mada unamjua kweli Humble African ?
 
Kiasi tu ndugu yangu. Nakuwa na vijihela kidogo hivyo hivyo kutokana na kutozoea maisha ya shida. Naenda mapumzikoni siku 5 Canada. Kidogo nipate nafasi ya kusalimia ndugu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Nakubali Boss ya Mboka [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kila la kheri nakutakia safari njema
 
mbona Smart911 amesahaulika ?huyu mada nzito ya ushahuri ikianza anakuwa wakwanza kucoment alafu anasema "ngoja wenyewe waje"
 
Back
Top Bottom