Mhhh mnatutafuta tuu ili tuwake...mbona kumetulia shwaaari...watu wameshakubali matokeo maisha yanaendelea...Umbumbumbuni kunawaka moto
πππMhhh mnatutafuta tuu ili tuwake...mbona kumetulia shwaaari...watu wameshakubali matokeo maisha yanaendelea...
Naunga mkono hojaπ€£π€£Hii list bila mimi ni batili.
Ndo nakwambia yote hayo wameamua kuyaacha time will tell...πππ
Tuhuma Kwa
Kamara
Kayoko
Gsm
Mangungu
Kwakweli sisi furaha yetu mgombane aisee
π€£π€£ wewe ni mkorofi mno unajulikana na kila mtu humuπ€£shindikana umecheka nini?
Haya mtaniNdo nakwambia yote hayo wameamua kuyaacha time will tell...
πππ mkuu hii ni kama ccm na wizi wa kura[emoji23][emoji23][emoji23]
ππππHaya mtani
Vumilia yatakwisha
Amna lolote...Weeeeh totoo!! Na upole wote huuπββοΈπββοΈπββοΈ
Kuweka jina lako mwenyewe ni sawa na kujitambulisha mbela za watu kwa kujiita Mr. Fulani.1 @Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Utaota unakimbizwa shauri yakoAfu Ile message Yako nime I print ...nmeiwekea lamination.....nmeibadika ukutani ...mkono wa kuume [emoji23]
Pa kujilipulia ndo bado sijapapata sasajilipue tu la mama...
Ni wivuu tuπππWewe hujawahi kuwa na content zaidi ya pumba na kuwa chawa wa Mwendazake tuu π π
Pamoja mkuu....[emoji23][emoji23]bado hawajasemaDah! Huyo mwamba Tate Mkuu ni mtu na nusu!! I wish ningemuona alipokuwa kijana ili anihamishie busara zake zisizo na kipimo!!
Nawaza tu huyu Mzee angekuwa ni kiongozi mkubwa kwenye hii nchi, mpaka muda huu nahisi tungekuwa ni Donor Country!
Halafu nilisahau!! Huyu mwamba Labani og, ni Jeshi kubwa kabisa duniani! Kwanza siyo mtu muoga! Na anaweza kuanzisha uzi wake wa kuwakera mashabiki wote wa Simba! Na wakijaribu tu kupambana naye, ndani ya muda mfupi tu unamkuta amewagaragaza wote kwenye matope!