Wakuu kuna huyu kijana mmoja wanamuita
min -me anastahili sana hastahili kuwepo kwenye list
kwanza ni mtu wa heshima sana kiufupi ni mtu na heshima zake...
Japo ni mchambuzi wa nyuzi za maadili ila anapenda watoto.
min -me yuko vizuri kwny kuongelea vijana na harakati za maisha kwa njia ya unyenyekevu hasa kwny comments zake sema ana mahaba mno na na watoto wa 2000😂😂😂
min -me ni mchangiaji mzuri hana bias..yani in short ni mzungu..ila ni mtu wa totozi sana lakini hajataka mapenzi ya utoto yamtoe kweny mstari...
Kwa hapa inatosha kama takua nimesahau kuhusu
min -me naomba mnikumbe mi ni binadamu kusahau kawaida wabillah taufiq