Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

Mpe bichwa mzee wa Ban...
 
Wakuu kuna huyu kijana mmoja wanamuita min -me anastahili sana hastahili kuwepo kwenye list

kwanza ni mtu wa heshima sana kiufupi ni mtu na heshima zake...
Japo ni mchambuzi wa nyuzi za maadili ila anapenda watoto.

min -me yuko vizuri kwny kuongelea vijana na harakati za maisha kwa njia ya unyenyekevu hasa kwny comments zake sema ana mahaba mno na na watoto wa 2000πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

min -me ni mchangiaji mzuri hana bias..yani in short ni mzungu..ila ni mtu wa totozi sana lakini hajataka mapenzi ya utoto yamtoe kweny mstari...

Kwa hapa inatosha kama takua nimesahau kuhusu min -me naomba mnikumbe mi ni binadamu kusahau kawaida wabillah taufiq
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…