Hawa ndio wachezaji 10 bora wa soka duniani wa muda wote

Hawa ndio wachezaji 10 bora wa soka duniani wa muda wote

W/C sio kigezo kamanda wangu...hata akina mbappe, Giroud, Pogba,Griezman na kante wanayo pia.

Alafu sio yeye ndie kaipatia kikombe, ile ilikuwa ni team work kwa ujumla...

Yani we jamaa nakushangaaga nakucheka kisha natema mate kwa masikitiko!!
Jinsi unavo mshupaliaga Messi mishipa ya makalio inakusimama utadhani ni mumeo umemzalia watoto wapacha!!
 
Yani we jamaa nakushangaaga nakucheka kisha natema mate kwa masikitiko!!
Jinsi unavo mshupaliaga Messi mishipa ya makalio inakusimama utadhani ni mumeo umemzalia watoto wapacha!!


kurlzawa njoo huku, Padri Mcharo ameingia anga za wanaume
 
Punguza mihemko, Mifano ya kipumbavu ndo nini?.

Anyway, mpira unauchambua kirahisi sana boss. Kwanza maswali yako yote jibu ni Spain. Nikuulize kitu kingine kati ya Ajax na Madrid au Juve au man city timu ipi inacheza ligi bora?? Na je timu ipi imefika nusu Fainali?? Unamfahamu Nasri aliyewika sana Arsenal akashindwa kuwika man city?? Je kuhu Michael balack wa Bayern na shevshenko wa ac milan walivyokuwa wakali kwenye ligi zao na vilabu vyao na kushindwa kabisa kufanya maajabu kabisa EPL na Chelsea?. Vipi kuhusu Iago aspas forward aliyesumbua ligi ambayo wewe unaiita bora na kushindwa kabisa kuwika ligi unayoiita mbovu?? Unadhan kwanini?? Anyway labda hujanielewa, twende kwa Samuel eto'o ambaye alikuwa mwiba mkali sana Spain ambayo wewe unaiita ligi bora lakin alishindwa kuonesha ubora ule ule kwenye serie A ambayo unaiita ligi mbovu.. mchezaji bora sio ligi gani tu bali pia ni kufit kwenye mifumo tofauti tofauti kwenye sehemu tofauti tofaut, ule uwezo wa kucopy na kufanya vizuri kwenye mifumo mingi tofaut ndo ubora wenyewe.

Messi ana maajabu anapokuw na Barcelona tu kwasababu mfumo wa timu umemzunguka Yeye kwa muda mrefu, Messi anafunga magoli mpaka 50 la liga, lakin anashindwa kufunga magoli 5 World cup au Komba lile la Amerika kusini. Anafanya maajabu UEFA na LA LIGA na Muda wote huo yupo na Barcelona, Messi yule yule anashindwa kufanya maajabu anapokuwa nje ya Barcelona, unataka kuniambia Argentina hakuna wachezaji wazuri? Aguero, Higuin, Di maria n.k.. ni wabaya? Jibu ni kwamba mfumo wa Argentina haujajengwa kumzunguka Yeye tofauti na Barcelona ambao umejengwa kwa miaka mingi ukimzunguka Yeye.

Messi ni bora ndani ya Barcelona, anapokuwa nje ya mfumo wa Barcelona ubora wake hauonekani,

Messi ameisaidia timu moja tu Duniani kuchukua makombe mengi, ni Barcelona tu. Japokuwa amecheza pia Argentina ila hana maajabu yoyote nje ya Barcelona.

Messi ambaye ndo mchezaji bora namba moja kwako, anaimbwa na kuheshimika ndani ya klabu moja tu, messi ni mfalme wa Barcelona lakin sio Argentina, wapo wachezaji ambao ni wafalme ndani ya klabu zao na mataifa yao, sifa ambayo messi hana.
Messi ndiyo mfugaji bora wa muda wote wa Argentina unataka afanye nn zaidi
 
List yoyote ya wachezaji bora inayomjumuisha CR7 ndani yake mimi huwa siitambui kabisa.

Kampita vipi Zidane na mtu kama Gaucho wakati kazi yake kuibia tu. Basi wengiwekwa na kina Gard Muller
 
We kijana unasoma na kuelewa?
Nimekutajia sababu za messi kutokuondoka spain we unaanza kunitajia sijui uchafu gani?
Nipe sababu za messi kuondoka spain na kwenda kwenye ligi dhaifu km uingereza na italy

Nitajie timu iliyochukua uefa ambayo haitoki spain ndani ya miaka saba

Mchezaji bora, mfungaji bora wote wametoka spain sasa aondoke hapo aende wapi?

Na msimu huu messi anachukua ufungaji bora na mchezaji bora wa uefa

Mfano hiyo ligi ya uingereza yenye mabeki wabovu messi akienda timu km man.city anaweza funga goli 60 kwa msimu
asante fundi....kigezo cha kutokuhama timu ni sawa nakusema "alininipga a kwakua alivaa viatu"..huyo pele kaka santos miaka 18 katka ubora wake na alihama alipokua keshapungua ubora..sasa jitu linakuja kusema ooh messi kwakua hajahama club..apewe baloon d or mara tano af mtu atoke kishumundu aje kukosoa messi...hahaaaaaa....ballon de or ya 6 anapita nayo kama kipangaa
 
Punguza mihemko, Mifano ya kipumbavu ndo nini?.

Anyway, mpira unauchambua kirahisi sana boss. Kwanza maswali yako yote jibu ni Spain. Nikuulize kitu kingine kati ya Ajax na Madrid au Juve au man city timu ipi inacheza ligi bora?? Na je timu ipi imefika nusu Fainali?? Unamfahamu Nasri aliyewika sana Arsenal akashindwa kuwika man city?? Je kuhu Michael balack wa Bayern na shevshenko wa ac milan walivyokuwa wakali kwenye ligi zao na vilabu vyao na kushindwa kabisa kufanya maajabu kabisa EPL na Chelsea?. Vipi kuhusu Iago aspas forward aliyesumbua ligi ambayo wewe unaiita bora na kushindwa kabisa kuwika ligi unayoiita mbovu?? Unadhan kwanini?? Anyway labda hujanielewa, twende kwa Samuel eto'o ambaye alikuwa mwiba mkali sana Spain ambayo wewe unaiita ligi bora lakin alishindwa kuonesha ubora ule ule kwenye serie A ambayo unaiita ligi mbovu.. mchezaji bora sio ligi gani tu bali pia ni kufit kwenye mifumo tofauti tofauti kwenye sehemu tofauti tofaut, ule uwezo wa kucopy na kufanya vizuri kwenye mifumo mingi tofaut ndo ubora wenyewe.

Messi ana maajabu anapokuw na Barcelona tu kwasababu mfumo wa timu umemzunguka Yeye kwa muda mrefu, Messi anafunga magoli mpaka 50 la liga, lakin anashindwa kufunga magoli 5 World cup au Komba lile la Amerika kusini. Anafanya maajabu UEFA na LA LIGA na Muda wote huo yupo na Barcelona, Messi yule yule anashindwa kufanya maajabu anapokuwa nje ya Barcelona, unataka kuniambia Argentina hakuna wachezaji wazuri? Aguero, Higuin, Di maria n.k.. ni wabaya? Jibu ni kwamba mfumo wa Argentina haujajengwa kumzunguka Yeye tofauti na Barcelona ambao umejengwa kwa miaka mingi ukimzunguka Yeye.

Messi ni bora ndani ya Barcelona, anapokuwa nje ya mfumo wa Barcelona ubora wake hauonekani,

Messi ameisaidia timu moja tu Duniani kuchukua makombe mengi, ni Barcelona tu. Japokuwa amecheza pia Argentina ila hana maajabu yoyote nje ya Barcelona.

Messi ambaye ndo mchezaji bora namba moja kwako, anaimbwa na kuheshimika ndani ya klabu moja tu, messi ni mfalme wa Barcelona lakin sio Argentina, wapo wachezaji ambao ni wafalme ndani ya klabu zao na mataifa yao, sifa ambayo messi hana.
waulize ecuador walifanywa nini na messi
 
Punguza mihemko, Mifano ya kipumbavu ndo nini?.

Anyway, mpira unauchambua kirahisi sana boss. Kwanza maswali yako yote jibu ni Spain. Nikuulize kitu kingine kati ya Ajax na Madrid au Juve au man city timu ipi inacheza ligi bora?? Na je timu ipi imefika nusu Fainali?? Unamfahamu Nasri aliyewika sana Arsenal akashindwa kuwika man city?? Je kuhu Michael balack wa Bayern na shevshenko wa ac milan walivyokuwa wakali kwenye ligi zao na vilabu vyao na kushindwa kabisa kufanya maajabu kabisa EPL na Chelsea?. Vipi kuhusu Iago aspas forward aliyesumbua ligi ambayo wewe unaiita bora na kushindwa kabisa kuwika ligi unayoiita mbovu?? Unadhan kwanini?? Anyway labda hujanielewa, twende kwa Samuel eto'o ambaye alikuwa mwiba mkali sana Spain ambayo wewe unaiita ligi bora lakin alishindwa kuonesha ubora ule ule kwenye serie A ambayo unaiita ligi mbovu.. mchezaji bora sio ligi gani tu bali pia ni kufit kwenye mifumo tofauti tofauti kwenye sehemu tofauti tofaut, ule uwezo wa kucopy na kufanya vizuri kwenye mifumo mingi tofaut ndo ubora wenyewe.

Messi ana maajabu anapokuw na Barcelona tu kwasababu mfumo wa timu umemzunguka Yeye kwa muda mrefu, Messi anafunga magoli mpaka 50 la liga, lakin anashindwa kufunga magoli 5 World cup au Komba lile la Amerika kusini. Anafanya maajabu UEFA na LA LIGA na Muda wote huo yupo na Barcelona, Messi yule yule anashindwa kufanya maajabu anapokuwa nje ya Barcelona, unataka kuniambia Argentina hakuna wachezaji wazuri? Aguero, Higuin, Di maria n.k.. ni wabaya? Jibu ni kwamba mfumo wa Argentina haujajengwa kumzunguka Yeye tofauti na Barcelona ambao umejengwa kwa miaka mingi ukimzunguka Yeye.

Messi ni bora ndani ya Barcelona, anapokuwa nje ya mfumo wa Barcelona ubora wake hauonekani,

Messi ameisaidia timu moja tu Duniani kuchukua makombe mengi, ni Barcelona tu. Japokuwa amecheza pia Argentina ila hana maajabu yoyote nje ya Barcelona.

Messi ambaye ndo mchezaji bora namba moja kwako, anaimbwa na kuheshimika ndani ya klabu moja tu, messi ni mfalme wa Barcelona lakin sio Argentina, wapo wachezaji ambao ni wafalme ndani ya klabu zao na mataifa yao, sifa ambayo messi hana.
IMG_20190501_125637.JPG


Soma mfungaji bora wa Argentina muda wote we kiazi sio unaleta ubishi wa kijiweni
 
Inafurahisha sana eti ronaldo wa ureno yupo top ten
Sijui nani alichagua hiyo list
List yoyote ya wachezaji bora inayomjumuisha CR7 ndani yake mimi huwa siitambui kabisa.

Kampita vipi Zidane na mtu kama Gaucho wakati kazi yake kuibia tu. Basi wengiwekwa na kina Gard Muller
 
List fake hiyo...hamna hata mmoja kutoka kigoma!
 
We kijana unasoma na kuelewa?
Nimekutajia sababu za messi kutokuondoka spain we unaanza kunitajia sijui uchafu gani?
Nipe sababu za messi kuondoka spain na kwenda kwenye ligi dhaifu km uingereza na italy

Nitajie timu iliyochukua uefa ambayo haitoki spain ndani ya miaka saba

Mchezaji bora, mfungaji bora wote wametoka spain sasa aondoke hapo aende wapi?

Na msimu huu messi anachukua ufungaji bora na mchezaji bora wa uefa

Mfano hiyo ligi ya uingereza yenye mabeki wabovu messi akienda timu km man.city anaweza funga goli 60 kwa msimu

Goli 60 chache sana kwake, sema 100
 
Back
Top Bottom