Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea

ah wapi bwana wee ni pisi kali alafu ndio maana National Anthem kila nikimwambia nipigie pamde mwa mrembo alikuwa ananinyima namba kumbe kwa kuwa wee ni pisi kali
😆😆😆
We shauri lako...ngoja siku tugongane huko mjini alafu uanze kulalamika uliongopewa!

Alafu umempeleka wapi National Anthem maana nimemiss na haonekani popote!😐
 
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumegongwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Mno Ndugu Zangu
Vyovyote Nitakavyosema Najua Mmenielewa
Hivi Wewe Ukiwa Na Binti Yako Unaweza Kukubali Lijamaa Limkumbatie Na Halijatoa Mahari
Kwanza Wanaopendana Chuoni Hawaoani


By John Pombe Joseph Magufuli Mzilankende
 
Bila FAIZA FOXXY sikupingi lakini dah....Acha niishie hapa.
 
Shukrani sana rafiki [emoji120][emoji7]
 
Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…