Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea


Karibu sana mkuu.

Kinachonivutia kwako ni kuwa hupendi Wanawake waonewe, hasa kimtazamo na maoni ya Watu kuwahusu ninyi. Hata hivyo hupendi kwa kutumia Facts na sio kutaka upendeleo.

Watu kama nyie mkinizingua huwaga nameza tuu fumba la mate kooni alafu najifanya kama sijaona.
Lakini siku ninywa zangu kisungura mtanikoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…