Hawa ndio waliomuua kamanda Yahya Sinwar, nao wameuawa Gaza

Hawa ndio waliomuua kamanda Yahya Sinwar, nao wameuawa Gaza

All the leaders of the Zionist unit that participated in the assassination of the martyr mujahid commander Yahya al-Sinwar months ago in Rafah were killed, as the unit was killed after falling into a tight ush in Beit Hanoun in the n

All the leaders of the Zionist unit that participated in the assassination of the martyr mujahid commander Yahya al-Sinwar months ago in Rafah were killed, as the unit was killed after falling into a tight ambush in Beit Hanoun in the northern Gaza Strip 🇵🇸🔻

View attachment 3195514
Inshalha khamas wameshinda nakuwakomboa wapalestinaa toka mikononii mwa thwaliim israel na kuwatoa. Kwenye ardhi tukufu ya alhaa alowapaa wapalestina israel hawatojarbu tenakuwa chokoza
 
Identity za IDF soldiers zote ni top secret sura zao hazionyeshwi sasa hawa waliwatambuwaje kwamba ndio walio muuwa sinwar ?
 
Inshalha khamas wameshinda nakuwakomboa wapalestinaa toka mikononii mwa thwaliim israel na kuwatoa. Kwenye ardhi tukufu ya alhaa alowapaa wapalestina israel hawatojarbu tenakuwa chokoza
I don't like it
 
Identity za IDF soldiers zote ni top secret sura zao hazionyeshwi sasa hawa waliwatambuwaje kwamba ndio walio muuwa sinwar ?
Wote wanajulikana walioingia Gaza mpaka wanapokunya although wengi wao hawanyi wanavaa pampas ili wasifanyiwe ambush ya kunya
 
Kwann ni kitu kibaya? Na Cha hovyo? Nadhani ni tafsiri Yako TU Kwa kua umeshindwa digest program nzima ya dini hivyo umeconclude Kwenye negativity akati Kuna two sides.
Mimi ni mtaalam kwa kusomea tena kwa viwango vya juu sana.. Lengo la dini limefeli sana duniani na dini ni mojawapo ya vyanzo vikubwa vya mauaji duniani
 
Kwenye hii dunia hakuna mtu mwenye uhalali wa ardhi yoyote,vinginevyo mtupe majibu waarabu kwenye bara la Africa wametokea wapi?
 
Kwenye hii dunia hakuna mtu mwenye uhalali wa ardhi yoyote,vinginevyo mtupe majibu waarabu kwenye bara la Africa wametokea wapi?
Waarabu walihakikisha wanafuta kabisa watu weusi Africa kaskazini yote na kumiliki ardhi kibabe na kusimika dini yao, kuanzia Libya, Morocco, Tunisia, Algeria mpaka Egypt.
 
Identity za IDF soldiers zote ni top secret sura zao hazionyeshwi sasa hawa waliwatambuwaje kwamba ndio walio muuwa sinwar ?
Tuna ripota wetu tunamwamin katuhakikishiaa pale mkitin jana kwenye swala ya adhuhurii kuwa walio uwawa ndio walio muuwa answar we unabiisha kama nan au we kafiri😂😂
 
Wewe umewahi kukutana na kinjekitile? Chief milambo lakini history iliyoandikwa mbona ndio hio unayoamini? Mimi Kwa kutumia akili yangu nimesoma Quran na biblia nikaunganisha na uelewa niliojaaliwa, pamoja na matukio nikaamini Mungu yupo.
Nani kakuambia mimi naamin hizo hadithi zq alinacha
 
All the leaders of the Zionist unit that participated in the assassination of the martyr mujahid commander Yahya al-Sinwar months ago in Rafah were killed, as the unit was killed after falling into a tight ambush in Beit Hanoun in the northern Gaza Strip 🇵🇸🔻

View attachment 3195514
Nishashukua picha ushahidi wakiweka picha zao namm natupia iyo wote wapo mashimoni kazi Safi adui ajue anapigana na nguvu kubwa.
 
Jaribu kuweka katika mizani Yahya na hicho kikosi


Nani kapata faida zaidi
 
Unafananisha kuuwawa kwa kiongozi na kuuwawa kwa wanajeshi walio vitani ambao wanajua mda wowote wanakufa
Kwani yeye alikuwa wapi unafikiri yule aliuliwa kama mwanajeshi wa kawaida tu
 
Wamewahishwa Jehanamu. Watamuomba Yahya Sinwar awagawie hata maji ya kunywa manake huko Jehanamu sio mchezo.
Maisha mafupi kweli. Walipomuua Sinwar walifanya sherehe na wakapewa mapongezi kama yote. Sasa hivi na wao wamevuta shuka
 
Hao ni nguruwe wamechinjwa Jana baada ya kunasa Kwenye mtego hamas damu ya Kamanda imelipwa
Pumbav huku bongo mnattishia kuwa mna kitabu linaitwa badiri mkikisoma mtu anakufa ,mbona hao wafuga ndevu wa dunia ambao ndio mmeiga kwao na watengemeza majini wakuu wameshindwa kumuua Netanyahu kwa kumsomea hiyo Kurujuani? Hapo mjue kitabu chenu ni magumashi
 
Back
Top Bottom