Hawa ndio waliomuua kamanda Yahya Sinwar, nao wameuawa Gaza

Hawa ndio waliomuua kamanda Yahya Sinwar, nao wameuawa Gaza

Mimi ni mtaalam kwa kusomea tena kwa viwango vya juu sana.. Lengo la dini limefeli sana duniani na dini ni mojawapo ya vyanzo vikubwa vya mauaji duniani
Mshana kumbe na wewe ni mulhid..!? Sikulijua hilo niliona sehemu fulani umesema kwamba umeokoka baada ya kutoka kwenye uchawi
 
Hao ni nguruwe wamechinjwa Jana baada ya kunasa Kwenye mtego hamas damu ya Kamanda imelipwa
Kwa hii stage uliyofikia, wakikubrainwash kidogo tu unaingia hata kwa Mwamposa hapo unawalipua.
 
Kwa hii stage uliyofikia, wakikubrainwash kidogo tu unaingia hata kwa Mwamposa hapo unawalipua.
Sahau Mimi kuwa brain washed hao hao waarabu nawajua vizuri na dini naijua vizuri Alhamdulillah hakuna wakuniyumbisha Mimi katika Uislam wangu sijaimaliza Quran, lakini najua vitu vingi kupitia kusoma na kujielimisha unaua vipi watu wasokua na hatia? Yaan nijiue Kwa kuua watu wasio na hatia? Ina make sense?
 
Dini ni kitu cha hovyo kuwahi kutokea duniani
Usihukumu dini kwa mihemuko ya watu wapumbafu wa mashariki ya kati na mashabiki zao kobazi

Sisi KRISTO YESU anatuambia yeye ni njia ya kweli na uzima

Hatuwezi chochote mbele ya MUNGU pasipo yeye

Kwahiyo achana na hawa wapumbafu waitwao kobaz
 
Mimi ni mtaalam kwa kusomea tena kwa viwango vya juu sana.. Lengo la dini limefeli sana duniani na dini ni mojawapo ya vyanzo vikubwa vya mauaji duniani
World War I
World War 2
Chinese Civil War
Vietnam War
Napoleonic Wars
Dungan Revolt


Hii ni mifano tu ya vita vikibwa vilivyowahi kutokea duniani na kuuwa mamia ya mailioni ya watu. Haya sasa tuambie vita hivyo vililetwa na wakristo? waislam? wahindu?.


Kama huna imani ya dini yeyote usisingizie dini zinasababisha vita badala yake fungua macho na uone kuwa tamaa za binadamu kwa masilahi yao ndio zilizosababisha vita vikubwa kuwahi kutokea duniani
 
Hao ni nguruwe wamechinjwa Jana baada ya kunasa Kwenye mtego hamas damu ya Kamanda imelipwa
Endelea kujifariji kwa uongo wa mchana kweupe! Huu ni uongo mtupu uliwajuaje kuwa hao ndiyo walihusika kumuua huyo Gaidi?? Anyway endelea kujifariji wakati Gaidi huyo sasa hivi anasulubiwa huko Jehanamu!!
 

Attachments

  • IMG_1142.jpeg
    IMG_1142.jpeg
    71.3 KB · Views: 2
All the leaders of the Zionist unit that participated in the assassination of the martyr mujahid commander Yahya al-Sinwar months ago in Rafah were killed, as the unit was killed after falling into a tight ambush in Beit Hanoun in the northern Gaza Strip 🇵🇸🔻

View attachment 3195514
The Muslims/Arabs media have been giving false information and comforting themselves to hide the defeat they are getting from the Israel Defence Forces. They are publishing false things that cannot help them in anything.!!
 
World War I
World War 2
Chinese Civil War
Vietnam War
Napoleonic Wars
Dungan Revolt


Hii ni mifano tu ya vita vikibwa vilivyowahi kutokea duniani na kuuwa mamia ya mailioni ya watu. Haya sasa tuambie vita hivyo vililetwa na wakristo? waislam? wahindu?.


Kama huna imani ya dini yeyote usisingizie dini zinasababisha vita badala yake fungua macho na uone kuwa tamaa za binadamu kwa masilahi yao ndio zilizosababisha vita vikubwa kuwahi kutokea duniani
Takwimu zinasema wazi kuwa migogoro mingi imesababishwa na Dini. Kuna dini moja ambayo ni Janga la dunia matukio mengi ya mauaji wao ndiyo Magwiji wanaua watu sana na wao kila mara hujigamba kuwa wao ni dini ya Amani wakati sivyo kabisa!!!
 

Attachments

  • IMG_1122.jpeg
    IMG_1122.jpeg
    192.1 KB · Views: 5
Waarabu walihakikisha wanafuta kabisa watu weusi Africa kaskazini yote na kumiliki ardhi kibabe na kusimika dini yao, kuanzia Libya, Morocco, Tunisia, Algeria mpaka Egypt.
We zwazwa mnunua udongo mm mweusi nimesoma history ya langi yangu ilivopitia tabu zama kwa zama nilichogundua nikweli watu weupe Duniani kote wametusurubu sana lkn Ajabu ipo apa DINI ya kiislamu ndio ilikuja kumkomboa ntu Mweusi Duniani kama sio DINI hiii meteso kwa watu weusi Yangekuwa makubwa kuliko aya tunayoyajua mtume muhamad SAW. Ndio anemfanya mtu mweusi asaminiwe Dunian tofauti na mipolojo yenu ya kitoto mnayolishwa uko makanisani ata ukifatiliwa msomi mkubwa marekani wa history Malcolm X moja wapo kilichomvutia kuwa muislamu ni kugundua Dini ya kiislamu imempa heshima mtu mweusi na ndio mana kinyume na propaganda zenu za kitoto watu weusi tiii wapo wengi YEMEN WAPO WENGI SAUDIA WAPO WENGI MISRI yani ao ni raia kabisa wa apo. OMAN ndio usiseme tena wa Oman wanaongea kiswahili angalia ligi ya SAUDIA cheki mashabiki utawaona weusi wenzetu wamenoma sana wapo na furaaa sana kuliko ww mfanya propaganda umechokaaa ngozi yko yenywe shida kibao lkn .oyo wako kumejaaa chukii na Waarabu au Uslamu afu nilichogundua awa wafanya propaganda ni wachovu sana kiakili kipesa nakusiii mm ondosheni chuki zenu maisha yatakuwa mepesi kwenu siku moja upate bahati ya kufika izo nchi za Waarabu ndio tokea apo utajiona ulikuwa Zoba sana. Sisi mafukala mno kwao ukiacha nchi chache zenye vita.
 
Back
Top Bottom