Nakushauri Rudi shule , soma ata mpaka darasa la 6Sasa mkuu ukisoma vizuli mwanzo uko juuu mm nilikuwa najibu hoja sikuanzisha hii haja zwazwa moja umu lilitaka kufanya propaganda kuwa mwarabu anachuki na ngozi nyeusi!! Lkn Mzungu akumtaja japo ww umekuja vizuli lkn ukisoma vizuli nilichojibu mwanzo namm nilikili ichoicho ulichosema ww watu weupe wote wanazambi kwetu Watu wa mashariki ya kati walikuwa sawa tu na Wazungu enzi izo lkn ulipoingia UISLAM mashariki ya kati mtu mweusi akapata mtetezi wake wa kweli ilikuwa sio kazi ndogo lkn Uislam na mtume wake muhamad S.A.W aliakikisha utu wa mtu mweusi unasaminiwa kwenye alakati iyo jamiii kubwa ya wakati huo ilimbeza na kumtukana kumdhiaki kwayeye kutaka langi Nyeusi isaminiwe sawa na langi nyeupe ktk UISLAM kuna jina la BILAL uyu mwamba au Swawaba wa mtume muhamad S.A.W ndio alikuwa kielelezo cha ubola wa mtu Mweusi kwawale wasiojua Bilal mtu mweusi uyu bwana kapitia mateso makubwa sana kisa tu kasilimu kuwa muislamu tena kwa sili lkn mwajili wake au mtu aliekuwa anammiliki uyo Bilal akajua bahati mbaya zaid uyo mmiliki wake ni ktk watu wakubwa sana apo MAKA uyo boss wake na wenzie walikuwa wanafanya alakati za kuudhima UISLAM kwakuwa unapingana na miungu yao wao walikuwa wanaamini miungu ipo mingi sio Mmoja kama UISLAM unavosema na kwakuwa wao ndio Watawala wa apo MAKA ikawa sasa UISLAM unaenezwa kwa sili sana lkn Boss wa BILAL akajua alikasilika sana alimtesa sana Boss akitaka Bilal aukane UISLAM na arudi kuamini mungu wao wa mwanzo!! Yani ipo ivi . Mtu mweusi kabla ya UISLAM kutawala ayo maeneo na kumtoa mtu kwenye utumwa M"baya sana ilikuwa ivi mtu mweusi nikama mnyama tu ananunuliwa na kuuzwa chakuuzunisha zaid ilikuwa wewe mweusi ukifanya jambo zuli kwa Boss wako uyo Boss anaweza kukununulia mke lkn ukizaa uyo mtoto nae anakuwa wa Boss mali yake!!! Chakusikitisha tena siku Boss umemuudhi umempa asala anaweza kumwamisha mkeo adi atake yeye kumrudisha akifurai au akamuuza kabisa kwa Boss mwengine kwaiyo kijumla mtu mweusi alikuwa anaonekana kama mnyama tu Bilal aliwekewa Jiwe kubwa kufuani kwake akiambiwa utopewa chakula wala j alitoki apo adi uikane dini ya UISLAM kila siku Boss alikuwa anaenda kumwangalia kama kafa au yupo hai anaenda chapa mboko kashaa akitaka ivyo Bilal arudi kuabudu Masanamu yao mwamba kufa akufa na kila akichapwa yeye anamtaja mola wake yani ALLAH tu. Habari zikamfikia Mtume Muhamad S.A.W wakashauliana na Shawaba mwengine akiitwa ABUBAKAR BIN SADIQ uyu bwana alikuwa anaelewana na Boss wa Bilal akamfata ukouko kwenye mateso akafanikiwa kumtoa Bilal kwenye mateso kwa Kupewa watumwa wawili wengine wa iman ya uyo BOSS Abuu alitumia akili ya kumdanganya kuwa anamuonea uruma uyo Boss kwa kujipa presha kila siku kuusu uyu mtumwa embu mwache nakupa mm watumwa wawili ndipo Boss akakubali lkn alikuwa ataki mwanzo kumwachia adi afe au aukane UISLAM!! Kutoka apo Bilal akawa huru kabisa kwa pamoja na Mwaswahaba mwengine wakiendelea kueneza DINI Bilal uyu mtu mweusi ndio mwasisi wa kinachoitwa AZANA ukisikia nyumbani kwako sauti ya Azana kwenye misikiti popote Duniani ujue mwasisi na mtu wa kwanza kuazini ni BILAL pale mkisikia MAKA kwenye jiwe la KABA jiwe jeusi ile seem miaka na miaka ilikuwa ni marufuku kwa mtu mweusi kusogelea pale unaweza bingwa mboko 50 kizembe zembe. Lkn chini ya UISLAM uyo BILAL sio kusogelea tena alipanda juu ya iyo KABA au jiwe jeusi ndipo akatoa AZANA ya kwanza DUNIANI ndio mana utaona maeneo mbalimbali Dunian kuna tahasisi za kidini zikitumia jina la BILAL misikiti ikitumia jina la BILAL apa Dar es salaam pale chuo cha CBE akiba kuna msikiti pia unatumia jina la BILAL chakushangaza zaid kuusu BILAL pamoja na kuwepo madhehebu ktk UISLAM kwasasa lkn ajabu madhehebu yote yanamueshim sana BILAL bila kujali SUNI AU SHIAH lkn zaid mtume Muhamed S.A.W kupigilia msumali hotuba yake ya mwisho kabla Ajafariki aliwaambia waumini wote waliokuwa wanamsikiliza kuwa akuna m'bora kati yenu kwasababu ya langi yake au kabila lake mbele ya mwenyezi mungu mtu m'bora miongoni mwenu kwa mwenyezi mungu ni yule tu mchamungu. Kwamaana mchamungu yoyote ata akiwa mtu mweusi kwamungu yeye ndio mwenye Samani. Aya ndio yalimfanya Gwiji la history MALCOLM X kusilimu na toka apo kusilimisha umati mkubwa wawatu weusi nchini Marekani akiwemo muhamad ALI kina Abdul Jabar mcheza Basketball mahaarufu nchini Marekani DINI PEKEE dunian miaka kwa miaka uko nyuma ilimkomboa mtu mweusi, lkn Leo mtu mweusi kwakumezeshwa propaganda au kuzaliwa akiwa iman nyengine anakubali kufanya propaganda asioijua kuusu UISLAM eti inabagua langi. FBI ndio walimuua MALCOLM X sababu alikuwa akipigania haki ya mtu mweusi na kumtaka mweusi kuachana na DINI ya wabaguzi na wakoloni FBI ikaona uyu sasa hatari zaid ya hatari tafuteni history ya MALCOLM X mjue namna alichachafya wazungu kupings ubaguzi wa langi kipindi icho ilikuwa Marekani mtu mweusi anasamani yoyote mfano kwenye usafiri wa uma mtu mweusi aijalishi umri wake awe mzee akipanda tu mzungu mfano kwenye daladala basi mweusi uinuka kwenye siti ili mzungu akae atakama kitoto cha kizungu lkn mweusi ni mzee lazima apishe siti!!!!!! MALCOLM X alipambana sana kuleta migomo iliopelekea kusambalatika kwa kias kikubwa ubaguzi nchi Marekani uyu ndio mwamba wa kweli aliotetea watu weusi nchini Marekani lkn kwasababu za kidini Marekani kwa unafiko wao wanajidai kumpamba Martin LUTHER king lkn ukweli mwamba alikuwa MALCOLM X ndiomana walimpiga shaba, ktk jimbo alikokuwa MALCOLM anafanya alakati zake mwanasheria wa ilo jimbo aliwai kunukuliwa akisema wkt MALCOLM X yupo hai kuwa ni heri kupambana na wanasiasa elfu 1 kuliko kupambana na msomi mwa history mmoja wa mfano wa MALCOLM X uyu jamaa ndio aliunguza picha kuwa Wazungu Marekani sio kwao kama sisi tulitoka Africa nisawa kabisa lkn nawao ni kutoka Ulaya na wanazambi kubwa kwa kuwauwa Red Indian wenye asili ya Marekani ile Marekani yote ni ya Waindi wekundu uko Canada pia kuna kashta kubwa kanisa Katoliki lilishiliki kuwauwa awa red Indian lililazimisha kuwachakuwa watoto kutoka kwenye Familia zao wakidai wanaenda kuwalea kumbe ni mpango kuwauwa kuwafunga uzaz wenyeji kimyakimya ili kufanya kizazi cha wazungu ndio kiwe kikubwa kuliko cha wenyeji, Niwaombe ladhi huu ujumbe sijafanya uhalili kuondosha makosa ktk uhandishi. Niwatakie asubui njema watanzania wenzangu.
Na nakukumbusha Bilal alikuwa mtumwa wa pedophile Muhammad, na Muhammad hakuwahi kumuachia huru.