Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.

Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.

Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.

Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.

Kuwa macho ndugu yako
Kutana na mimi wa kwanza! Sina gari ya kutembelea wala jumba kuuuuuubwa na sina kazi maalum
Maisha yanaenda enda tu kwa kitegemea monsoon wind
 
Wewe ni muongo tu hahahaaaa.

Unataka kujipatia vi brownie points kwa kuwasema hao uliokutana ili sijui uonekane uko ‘real’.

FOH with that bullshit.

Mtu anaanzaje kukuambia wewe ana hivyo vitu vyote?

‘Aisee Bujibuji, mimi nina gari, nina madigrii, nina ma akaunti Uswisi, nina mashamba, nina matrekta’…

Wewe ni mzushi tu. You don’t sound believable at all.
Man, you cooked him
 
Yes,nimekutana nao 2of them here ni wanahela kiasi .

1.huyu mtu ni mdogo age yake 28 anahela mbaya maana anamiliki vitu kadhaa .
Serikalini hayupo ila kujua🤦 watu anajua .
Tulipishana maelezo kisa anataka ni slim
2. Ni kizee ila anaendesha kitu uwakika akija Arusha ni mountmeru hotel,Mzee adi melia anafikiaga ila kazi sisemi ataanza fuatiliwa
 
Mkuu acha uongo mbona mm Sina gari Wala sio boss na Nisha shisha Uzi nyingi za kuomba ushauri.

Tatzo lako umejikita Sana kwenye jukwaa la Mapenzi.

Tembelea jukwaa la afya,biashara huko ndo utakutana na wana jf wapambanaji wenye kipato kidogo Sana wakiomba ushauri kwa wadau.

Ukitoka huko tembelea jukwaa la michezo kwenye Uzi wetu wa betting uone vijana tunavyo kimbizana na ule Uzi

Ukirudi kwenye Uzi wako huu naimani utaufanyia marekebisho
 
Nilichonacho ni kiji-ajira tu, kaujenzi ndo najikongoja hakajaisha.

Basi tu, kweli wengi wanaeleza mafanikio yao wapo wakweli na waongo

ILA CHOKA MBAYA TUMO

Mungu tusaidie,[emoji1545]
 
Hiyo tandale kwa mfuga mbwa ipo nchi gani? Ningependa nako nikatembelee kama kuna hotels za kisasa na maisha mazuri
Kiswahili kigumu amesema

Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao JF sio nilioonana nao nje ya JF.

Anamaanisha kwamba ni amewakuta humu amewajua humu na wapo humu km sio wewe basi kaa ukijua wapo wenye wameandikwa kwenye hio orodha usibishe, humu kuna kila aina ya watu na unakutana nao na kupishana nao kwenye cordor za JF kila leo kwa hio kiswahili cha mtoa mada kisikuorofishe ubongo mkuu, mimi binafsi nimekuelewa ukitaka kuelewa anazungumzia nini tafuta uzi za Bill Lugano uone anavyojieleza leo yupo Thailand kesho anaenda kutembelea Malaysia, wewe upo wapi?

Huo ni mfano mmoja wapo tu nimemzungumzia wengine wapo, je kweli Bill Lugano ana ukwasi kiasi hicho cha kuzurula kila majiji ya hii dunia au yupo Tandale kwa mfuga Mbwa tu hapo? Sorry mkuu Bill Lugano kwa kukutolea mfano Ila kuna watu bila kuonyeshwa mifano hawawezi kuelewa

Ukiniondoa huyo wapo wengi wengine ambao kweli yaliyoandikwa ndio maisha yao na wapo humu JF, sasa kuna ubaya gani mtoa mada anaposema amekutana nao humu JF? Sio kwamba amekutana nao Bar au nyumbani kwake
 
Huku ndiko wanakoishi wana JF
Uzunguni Josho Deep Mifugo Road.jpg
 
1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.

Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.

Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.

Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.

Kuwa macho ndugu yako



Mmmh! Makapuku kama mimi bado hujakutana nao mkuu, huo ni ubaguzi mkuu_ndugu_yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom