BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
😅😅😅The brazilianMamelodi Tayari kashakula 2 moya [emoji28]huu mpira aisee!,kubeti sio kazi tena mjini bora ukalime
Mamelodi Tayari kashakula 2 moya [emoji28]huu mpira aisee!,kubeti sio kazi tena mjini bora ukalime
Hawana nini? hao ndio mabingwa wateuleMamelody jina tu, hawana timu wale [emoji23][emoji23] anatoka mapema sana
shalulile anawakimbia Injinia Hersi keshamsainisha UtopoloniHawana nini? hao ndio mabingwa wateule
Huyo jamaa ni mpenzi wa vitimu vya Kaskazini mwa Afrika huko, Mamelody wamekuwa wazuri kwa misimu kama mitano hivi.Hawana nini? hao ndio mabingwa wateule
Mkuu nenda kwenye uzi wa wazee wa kuweka mzigoJuventus qmmk
Mkuu kwahiyo kwa Africa unshisi timu bora ni ipi? Msimu huu Al Ahly kachezea mechi zote mbili. Kama sijakosea ndio mechi yao ya kwanza kufungwa. Kwenye group stage hawakufungwa mechi hata moja.Mamelody jina tu, hawana timu wale [emoji23][emoji23] anatoka mapema sana
Usini quote mambo ya kipumbavu please!shalulile anawakimbia Injinia Hersi keshamsainisha Utopoloni
Mamelod hawezi kuwa bingwa wa CAFCL, hizo mbio zao zisikutishe wao kuingia robo fainali huwa ni kawaida sana ila kombe ni kwa mwarabu.Hawana nini? hao ndio mabingwa wateule
Wamekuwa wazuri kwa kuishia nusu fainali, tangu 2016 mafanikio yao makubwa yamekuwa ni kufika nusu.Huyo jamaa ni mpenzi wa vitimu vya Kaskazini mwa Afrika huko, Mamelody wamekuwa wazuri kwa misimu kama mitano hivi.
Mkuu kwahiyo kwa Africa unshisi timu bora ni ipi? Msimu huu Al Ahly kacheza mechi zote mbili. Kama sijakosea ndio mechi yao ya kwanza kufungwa. Kwenye group stage hawakufungwa mechi hata moja.
Na kingine kwa matokeo ya 2 kwa moja ni yeye ndiye matokeo yanambeba kwasababu alikuwa away
Hawana nini? hao ndio mabingwa wateule
Wamekuwa wazuri kwa kuishia nusu fainali, tangu 2016 mafanikio yao makubwa yamekuwa ni kufika nusu.
Huyo jamaa ni mpenzi wa vitimu vya Kaskazini mwa Afrika huko, Mamelody wamekuwa wazuri kwa misimu kama mitano hivi.
Al ahly akifika eneo linaloitwa quarter final uwa hana mzaa.Al ahly 2-1 Raja, HT
Petro Atletico 2-1 Mamelody, FT