Hawa ndio wanaume wa shoka

Hawa ndio wanaume wa shoka

Mimi huwa nawashangaa baadhi ya wabongo, kitu kinaonekana wazi, mpira unaangalia dakika zote 90, lakini bado anang'ang'ana kuwasifia Mamelody timu linalopaki bus muda mwingi. Na timu za kupaki bus ni za kuogopa sana wakikulamba moja tu kurudisha ni ngumu mno kwa maana wote wanarudi nyuma, ndicho kilichomkuta al ahly dhidi ya mamelody last match.

Kupaki basi nayo Ni mbinu ya mchezo
 
Wabovu ambao wanakaribia kuchukua ubingwa.

Haya ngoja tuone wapaki bus wako watafika wapi..petro kamtoa jasho, kwa wakina Raja si atapigwa ndani nje 😃 nawaombea watolewe haraka, hawajui kucheza.
 
Hivi hao mamelod msimu huu mmewaangalia vizuri wakicheza! Hasa wakiwa S.A.Huu ndo msimu ambao anaweza kufanya vizuri zaidi tofauti na misimu iliyopita.kweli amefungwa mechi ya kwanza ila atacheza fainali na pengine ndiye bingwa mpya wa Africa.
 
Hivi hao mamelod msimu huu mmewaangalia vizuri wakicheza! Hasa wakiwa S.A.Huu ndo msimu ambao anaweza kufanya vizuri zaidi tofauti na misimu iliyopita.kweli amefungwa mechi ya kwanza ila atacheza fainali na pengine ndiye bingwa mpya wa Africa.
Amefanya tayari au bado tusubirie?
 
Mkuu kwahiyo kwa Africa unshisi timu bora ni ipi? Msimu huu Al Ahly kachezea mechi zote mbili. Kama sijakosea ndio mechi yao ya kwanza kufungwa. Kwenye group stage hawakufungwa mechi hata moja.

Na kingine kwa matokeo ya 2 kwa moja ni yeye ndiye matokeo yanambeba kwasababu alikuwa away
Wamelambwa kichwa
 
Huyo jamaa ni mpenzi wa vitimu vya Kaskazini mwa Afrika huko, Mamelody wamekuwa wazuri kwa misimu kama mitano hivi.

Endelea kujifariji, nilishasema hao wapaki bus mapema tu wanaaga, nikasema na lion wanaaga mapema tu.

Bingwa anatokea hapa(Wydad or Al ahly)

Kila laheri Wydad Casablanca
 
Back
Top Bottom