Mimi huwa nawashangaa baadhi ya wabongo, kitu kinaonekana wazi, mpira unaangalia dakika zote 90, lakini bado anang'ang'ana kuwasifia Mamelody timu linalopaki bus muda mwingi. Na timu za kupaki bus ni za kuogopa sana wakikulamba moja tu kurudisha ni ngumu mno kwa maana wote wanarudi nyuma, ndicho kilichomkuta al ahly dhidi ya mamelody last match.
Wabovu ambao wanakaribia kuchukua ubingwa.
Kupaki basi nayo Ni mbinu ya mchezo
Hawana nini? hao ndio mabingwa wateule
Timu ya kawaida kwako.
Wamebeba Kombe mara moja
ndani ya hiyo miaka mitano.
Naona siku hizi jukwaa la BarceNyeto umelikimbia kabisa....Umeanza lini kuangalia mpira?
Itapunguza nini? nitajie team isha wahi mpiga Al Ahl home and away? team gani isha mpiga Al Ahl goli 5 alf unasema Mamelody ni team ya kawaida!Umeanza lini kuangalia mpira?
Kama Mamelody sundowns wana kombe moja mnawaita wa kawaida na hawa wanao ishia robo finally wanabweka tuwaiteje?Wana vikombe vingapi vya CAF CHAMPIONS LEAGUE?
Kama Mamelody sundowns wana kombe moja mnawaita wa kawaida na hawa wanao ishia robo finally wanabweka tuwaiteje?
Itapunguza nini? nitajie team isha wahi mpiga Al Ahl home and away? team gani isha mpiga Al Ahl goli 5 alf unasema Mamelody ni team ya kawaida!
Na ambao hata robo fainali hawajafika,wazee wa historia tuwaiteje?Kama Mamelody sundowns wana kombe moja mnawaita wa kawaida na hawa wanao ishia robo finally wanabweka tuwaiteje?
Amefanya tayari au bado tusubirie?Hivi hao mamelod msimu huu mmewaangalia vizuri wakicheza! Hasa wakiwa S.A.Huu ndo msimu ambao anaweza kufanya vizuri zaidi tofauti na misimu iliyopita.kweli amefungwa mechi ya kwanza ila atacheza fainali na pengine ndiye bingwa mpya wa Africa.
Wamelambwa kichwaMkuu kwahiyo kwa Africa unshisi timu bora ni ipi? Msimu huu Al Ahly kachezea mechi zote mbili. Kama sijakosea ndio mechi yao ya kwanza kufungwa. Kwenye group stage hawakufungwa mechi hata moja.
Na kingine kwa matokeo ya 2 kwa moja ni yeye ndiye matokeo yanambeba kwasababu alikuwa away
Hawana nini? hao ndio mabingwa wateule
Amefanya tayari au bado tusubirie?
Huyo jamaa ni mpenzi wa vitimu vya Kaskazini mwa Afrika huko, Mamelody wamekuwa wazuri kwa misimu kama mitano hivi.
Hawana nini? hao ndio mabingwa wateule