Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.
Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
Kwamba serikali ya Tanzania wanegoshieti na Hamas?.na hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
Wavaa kobazi na wanywa gahawa ni watu wenye ushetani mkubwa na mnaofanya kupitia mgongo wa dini yenu.Hamas wamefanya makosa kuteka watu hovyo pamoja na mengine ,na hatusemi kuwa Hamas ni wasafi.
Ila utashangaa Migalatia ya humu (baadhi akiwemo Maghayo na genge lake) inafurahia mauaji ya kutisha na ukatili wanaofanya Israel kwa raia wa Gaza wakiwemo watoto , Wanawake na Wazee .
Unafiki ,na chuki huwa zinadhihirika mapema sana.
Ndio kawaida yenu, kinachosemwa na mzungu au myahudi mtaamini, hata kama ndugu zetu hamas wamewakamata hao mayahudi weusi watawahudumia vizuri na kuwaachia huru, huo ndio Uislamu bwana, mfano wale mabibi wa israel walihudumiwa mpaka wakaachiwa bila kudhuurika, huo ndio Uislamu bwana.
Haha ndugu zenu au magadi wenzenu, hahah wavaa kobazi mna vituko sanaa.Niache kuandamana kwa ajili ya ndugu zetu wapalestina eti niandamane kwa ajili ya mayahudi weusi, hii akili ni ya wapi!! Sometimes muwe mnafikiria mnachoongea
Dini mbaya saana hii na yakuikataa kiakilo kabisa. Dini yenye ubaguzi kwa ndugu wa damu ila kujipendekeza kwa watu wa mbali kwao ni fahari.Asili yao ni roho mbaya, ushetani na unyama
Asili ya hamas ni wavaa kobaziHamas maadui zao ni wayahudi ndugu zetu watanzania wamewakosea nini hadi wawa chukue mateka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia imeanza kuulewa uislamu kwa asili yake ni ujinga na ushetaniNi nani alianzisha dini ya kiislsmu.Inailetea tatizo dunia.
Hamas ni mojawapo ya chama kinachounda Serikali ya Palestina ambayo imempeleka balozi wao hapa Tanzania. huyo balozi ni part and parcel ya hamas na anaongea nao kama wanaserikali wenzake.Kwamba serikali ya Tanzania wanegoshieti na Hamas?.
Hapo ni kuomba tu itokee wakijisikia waachilie kama walivyowaachia wale Wamarekani...Hao Israel wenyewe hawatyaka kusikia kitu kunegoshieti wao ni kutembeza kichapo tu, wakiamua kuwaachia juu yao, wakiwaua juu yao.
basi hata sisi tunasisitiza Netanyau ongeza moto kidogo hadi waseme. hapo hawajasema.Niache kuandamana kwa ajili ya ndugu zetu wapalestina eti niandamane kwa ajili ya mayahudi weusi, hii akili ni ya wapi!! Sometimes muwe mnafikiria mnachoongea
😁😁😁😁😁😁Hamas sio magaidi, magaidi ni waisrael