Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix

wapalestina wa buza na wakomonisti wa mbweni waambieni vijana wenu wa itikadi kali wawaachilie hawa vijana au mnaendelea kusupport hata huu ujinga.
View attachment 2796985

Wangejaribu kuingia vitani na ndugu zao mayahudi, hapo ndio patamu, hakuna cha utanzania wala nini, tena nawaambia kabisa Hamas piga uwa kabisa.

Nitakua mpumbavu niwe upande wa myahudi mweusi alieungana na jeshi kuwapiga ndugu zangu wapalestina.

Palestine 🇵🇸 will be free in shaa Allah
 
ngoja tuone wavaa kobaz wa tanzania kama wataandamana ili watanzania hawa ambao kwao ni makafir waachiwe au wana uchungu na wapalestina peke yake.

Niache kuandamana kwa ajili ya ndugu zetu wapalestina eti niandamane kwa ajili ya mayahudi weusi, hii akili ni ya wapi!! Sometimes muwe mnafikiria mnachoongea
 
swali ni kwamba, eneo lile linakaliwa na watu weupe, hao vijana ni pure african, wanajulikana kabisa kwamba sio waisrael, kwanini waliwakamata? hao nao wamewakosea nini au walikuwa wanakamata kila mtu tu, si wawaachie?
Lengo ni kuwaudhi na kuwakomoa Waisrael
 
na hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
Ukute cherikali nayo inashangaa
 
na hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.

Ndio kawaida yenu, kinachosemwa na mzungu au myahudi mtaamini, hata kama ndugu zetu hamas wamewakamata hao mayahudi weusi watawahudumia vizuri na kuwaachia huru, huo ndio Uislamu bwana, mfano wale mabibi wa israel walihudumiwa mpaka wakaachiwa bila kudhuurika, huo ndio Uislamu bwana.
 
Dah vijana wadogo sana walienda kusoma na wangekuja kuwa experts wazuri na kuinua uchumi wa nchi yetu pitia kilimo. Mungu wasaidie vijana wetu warudi salama.
Itikadi kali haina faida duniani
 
na hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
Serikali yetu iko chini ya wavaa kobaz
 
balozi wa palestina anasapoti hamas, sisi hatutaki kuingilia kati ugomvi wao, tunachotaka, kama vile ambayo yeye na mabalozi wenzake wa palestina wengiii wamekuwa wakihitaji sapoti yetu kuilaani israel mara kwa mara, atusaidie, apige tu simu kwa Ismail Haniyeh kiongozi wa Hamas, anaishi pale Qatar, amwambie awaachie hao watanzania wawili kama vile alivyowaachia waisrael wawili juzi. la sivyo siku nyingine asije kulialia kwetu kuomba tumpige sapoti.
Support anaipata kwa wavaa kobazi wenzake sio sisi tunaonjielewa
 
Unauza kitimoto, hela umeshika na damu ya kitimoto. Na waislamu wanajua unauza kitimoto.
Ukienda dukani kwake, anakuuzia bidhaa unampa hela ya kitimoto anapokea.
Sasa hivi wanatumia mtandao wa kafiri kutoa maoni yao.
Hahahahhaha wanakula hela za kitimoto
 
Back
Top Bottom