Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.

Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.

Mikono salama ya magaidi?. That’s why sometimes i portray religion as a curse. Hao watanzania waachiwe , they are innocent.
 
Kwamba serikali ya Tanzania wanegoshieti na Hamas?.

Hapo ni kuomba tu itokee wakijisikia waachilie kama walivyowaachia wale Wamarekani...Hao Israel wenyewe hawatyaka kusikia kitu kunegoshieti wao ni kutembeza kichapo tu, wakiamua kuwaachia juu yao, wakiwaua juu yao.
 
Wavaa kobazi na wanywa gahawa ni watu wenye ushetani mkubwa na mnaofanya kupitia mgongo wa dini yenu.

Mnafanya maafa huku mkitaja Mungu. MUNGU YUPI HUYO WA ANAESUPPORT UNYAMA HUO
 
daah itakuwaje sasa maana hamas wanadai mateka 50 wameshauawa na haya mabomu yanayoendelea kurushwa na idf.

tuwaombee aisee muumba awape kinga
 
daah itakuwaje sasa maana hamas wanadai mateka 50 wameshauawa na haya mabomu yanayoendelea kurushwa na idf.

tuwaombee aisee muumba awape kinga
Hamas ni ushetani. Hakuna harakati yoyote pale.
 
Mikono salama ya magaidi?. That’s why sometimes i portray religion as a curse. Hao watanzania waachiwe , they are innocent.
Ndugu Huyu ni gaidi ana support magaidi wenzake wa huko
 


kumbe waislamu mnaakili fupi hivi. nyerere alivyoanzisha bakwata aliona mbali.
 
Niache kuandamana kwa ajili ya ndugu zetu wapalestina eti niandamane kwa ajili ya mayahudi weusi, hii akili ni ya wapi!! Sometimes muwe mnafikiria mnachoongea
Haha ndugu zenu au magadi wenzenu, hahah wavaa kobazi mna vituko sanaa.

Na unasema haya kwa sababu hawana majina ya mwambao,

Hio inaonesha ni jinsi gani itikadi yenu imejaa chuki, mtengano na roho mbaya.

Hamtashinda hta siku moja
 
Asili yao ni roho mbaya, ushetani na unyama
Dini mbaya saana hii na yakuikataa kiakilo kabisa. Dini yenye ubaguzi kwa ndugu wa damu ila kujipendekeza kwa watu wa mbali kwao ni fahari.
 
Dini mbaya saana hii na yakuikataa kiakilo kabisa. Dini yenye ubaguzi kwa ndugu wa damu ila kujipendekeza kwa watu wa mbali kwao ni fahari.
Hii sio dini ndugu yangu, hii ni cult.

Ebu google CULT ujioonee.
 
Hamas ni mojawapo ya chama kinachounda Serikali ya Palestina ambayo imempeleka balozi wao hapa Tanzania. huyo balozi ni part and parcel ya hamas na anaongea nao kama wanaserikali wenzake.
 
Niache kuandamana kwa ajili ya ndugu zetu wapalestina eti niandamane kwa ajili ya mayahudi weusi, hii akili ni ya wapi!! Sometimes muwe mnafikiria mnachoongea
basi hata sisi tunasisitiza Netanyau ongeza moto kidogo hadi waseme. hapo hawajasema.
 
Hamas sio magaidi, magaidi ni waisrael
😁😁😁😁😁😁
Unaona unajitekenya na kucheka mwenyewe.
Kitendo cha kuvamia, kuua na kuuchukua mateka ni ugaidi.
Israel imeenda kukomboa mateka.
Mimi kama mtanzania, kwa kutekwa watanzania wenzangu Israel inatakiwa itembeze kichapo. Ningekuwa raisi, ningetuma wanajeshi kwenda kupigana na Hamas ili kuwakomboa mateka.
Huwezi kupatana na magaidi. Magaidi wanatakiwa wapigwe kama Israel anavyofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…