Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Linex?Na yule dogo alieimba Salima akimshirikisha Diamond
Kwahiyo hiyo product inakuongezea kipato?? Au ni watoto wa kawaida tu!
Hivi ni kwanini waafrika wanapo oa wazungu ni lazima hao wazungu wawe ma-rejects huko watokako? Kuna uhusiano gani mwaafrika kuoa mzungu aliye reject na uzuri? Sijawahi kuona mwanamke mzuri wa hawa wazee wetu, je....ilikuwa ni ngekewa tu ya kuoa mzungu ili aonekane wa maana au?
Kingunge kaoa MACHAMe a.k.a PalestinaNani kakwambia mke wa kingunge mrusii
Nimecheka kidogo nipasuke.Kimbembe ni mbongo akicross na hawa wajenga barabara na majengo marefu/meli ya matibabu
Kitoto kinatoka kimevimba macho
Jerry Muro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kimbembe ni mbongo akicross na hawa wajenga barabara na majengo marefu/meli ya matibabu
Kitoto kinatoka kimevimba macho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kamachumu[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani nmecheka eti mhaya wa wapi vile
Hawawi kama hao wa mixer ya kizungu. Wanakuwa kama wapemba wenye nywele ndefuSijui kuhusu mwafrika na mhindi,
Sijajua kuhusu hilo.
mnaongelea uzuri gani? mbna sisi waafrika pia wazuri tu... inamaana watoto wa mange ni wazuriKweli mkuu.
Kuna demu nilikuwa naye siku zilizopita, yaani alikuwa akiliongelea sana.
Alikuwa akiongea product ya mzungu na mwafrica(watoto) wanakuwa wazuri mno.
Mungu amsaidie sana japo hatukufanikiwa lengo letu.
Kaka hii ni miaka ya nyuma, sikuizi huko mashariki nao wapo vizuri.Ulaya mashariki kuna njaa ndio maana wazee au vijana wengi wanaosoma huko walirudi na wake. Sababu ni kuwa hao wanawake wanawake wanajua wasomi wakirudi bongo maisha ni mazuri.
Wengine walirydi nao wakakuta ndivyo sivyo wakakimbia kurudi makwao. Ni wachache sana wameoa wa Ulaya magharibi labda wale vibonge aka rejects!