Hawa ndiyo wanawake wa kuoa sasa. Wanawake ambao hawajaathiriwa na feminists, wako wengi mikoani

Hawa ndiyo wanawake wa kuoa sasa. Wanawake ambao hawajaathiriwa na feminists, wako wengi mikoani

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Nenda vijiji vya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mbeya, Ruvuma, Rukwa na Katavi utakutana na wanawake waliolelewa na wakaleleka.

Kila mwanaume kwao ni kama mfalme. Hawathubutu kamwe, huona soni na hivyo kutoka ndani mioyoni mwao huonesha heshima ya hali ya juu sana kwa kupiga magoti wanapomsalimia kila mwanaume bila kujali hali na hadhi yake.

Screenshot_20241202-224759.png

Angalia huyu jamaa anavyo-enjoy heshima ya kupewa salaam kwa kupigiwa magoti na wanawake wawili kwa mpigo. Halafu wala haringi.

Ukioa ktk vijiji vya mikoa hii, nakuthibitishia kuwa migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani na kuisoma mitandaoni tu.
 
Sasa hv hakuna tofauti ya wakjjn wala mjn kwani elimu na utandawazi vimeharibu kila kitu.

Ukifika wakati wewe jibebee kwa vigezo unavyotaka ila kwenye tabia usijiaminishe sana.

Hali ni mbaya kwenu vijana
 
Traditional conservative woman is definitely the best choice if you want to have peaceful marriage...

Marrying an educated modern african women with their ill-digested neo-feminism is the gravest mistake that you should avoid to make if you want to have peaceful marriage
 
These sort of women turn the households into political arena with endless arguments
Indeed as much as rebellious they are everything in your house will be decided after long hours of unnecessary debate, she will argue with you even the color of curtains for forthcoming x-mass😏😏.... Note your home should be the place of peace and soft jokes between you and your lovely wife and not a platform for intellectualism showcasing where you unnecessarily and relentlessly trying to outsmart each other.
 
Kupiga magoti ni utamaduni tu huko vijinini
Ila ukiwaleta mjini watakupasua kichwa huwa wanazibuka,labda ukioa ukae nao hukohuko vijijini
 
Back
Top Bottom