CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
hayo yote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo tu. hao wanawake huwa wanabadilika kutokana na mazingira, kaskilize wimbo wa prof jize-nikusaidiaje, ndio utaelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChaiSasa hv hakuna tofauti ya wakjjn wala mjn kwani elimu na utandawazi vimeharibu kila kitu.
Ukifika wakati wewe jibebee kwa vigezo unavyotaka ila kwenye tabia usijiaminishe sana.
Hali ni mbaya kwenu vijana
Chezesha Code,,,,,,! 😎Tarehe 27 Novemba 2024, siku ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Hapa huyu jamaa alikuwa anaenda kupiga kura.
I hate the idea mtu anakuketea malumbao yasiyo na maana na bado anakutegemea. Feminists are busy bragging how stable they are without mens, yet deep inside utakuta anamtegemea mwanaume mjinga flan a finance her basics needs.These sort of women turn the households into political arena with endless arguments
PROFESA J NJOO UMALIZE UTATA HUKU
Dj mlete prof j na nikusaidieje alafu usiweke chikichiki
hayo yote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo tu. hao wanawake huwa wanabadilika kutokana na mazingira, kaskilize wimbo wa prof jize-nikusaidiaje, ndio utaelewa.
Mwalala uli...asante karesaa asante mkwai...TUTENZI TA.......😍😍😍😍Nenda vijiji vya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mbeya, Ruvuma, Rukwa na Katavi utakutana na wanawake waliolelewa na wakaleleka.
Kila mwanaume kwao ni kama mfalme. Hawathubutu kamwe, huona soni na hivyo kutoka ndani mioyoni mwao huonesha heshima ya hali ya juu sana kwa kupiga magoti wanapomsalimia kila mwanaume bila kujali hali na hadhi yake.
View attachment 3167618
Angalia huyu jamaa anavyo-enjoy heshima ya kupewa salaam kwa kupigiwa magoti na wanawake wawili kwa mpigo. Halafu wala haringi.
Ukioa ktk vijiji vya mikoa hii, nakuthibitishia kuwa migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani na kuisoma mitandaoni tu.
Njombe wanawake wao ni wife material?Japo ni utumwa fulani hivi, ila ingezea na wanawake wa njombe.
Jidanganye! Shemeji yangu mmoja alidondosha chupi hivi hivi! Kwa aibu akarudi kuitafuta vichakani!Dawa ni kuoa la 7 halafu usimnunulie smartphone
Hawa akina POSUTA hawa unakuta anapiga magoti na anapiga makofi ya shukurani wakati wa salaamMwalala uli...asante karesaa asante mkwai...TUTENZI TA.......😍😍😍😍
Hata unapompenyezea hulia kwa adabu na kuongeza mshawasha.....anyway nisha acha uhuni
Una affinity na ushirikina?Nenda vijiji vya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mbeya, Ruvuma, Rukwa na Katavi utakutana na wanawake waliolelewa na wakaleleka.
Kila mwanaume kwao ni kama mfalme. Hawathubutu kamwe, huona soni na hivyo kutoka ndani mioyoni mwao huonesha heshima ya hali ya juu sana kwa kupiga magoti wanapomsalimia kila mwanaume bila kujali hali na hadhi yake.
View attachment 3167618
Angalia huyu jamaa anavyo-enjoy heshima ya kupewa salaam kwa kupigiwa magoti na wanawake wawili kwa mpigo. Halafu wala haringi.
Ukioa ktk vijiji vya mikoa hii, nakuthibitishia kuwa migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani na kuisoma mitandaoni tu.
Smartphone atatumia yako, nna jamaa yangu degree holder kaoa darasa la 7 B, yule mwamba anaheshimika kuanzia na mkewe hadi familia yao nzima.Dawa ni kuoa la 7 halafu usimnunulie smartphone
Na sifa ya mume ni kuvuna heshima kutoka kwa mke mpk watoto. Siyo mume unachukuliwa kirahisi kama shamba boySmartphone atatumia yako, nna jamaa yangu degree holder kaoa darasa la 7 B, yule mwamba anaheshimika kuanzia na mkewe hadi familia yao nzima.
Kweli kabisa mkuu kwenye hilo jamaa kafanikiwa pakubwa sana.Na sifa ya mume ni kuvuna heshima kutoka kwa mke mpk watoto. Siyo mume unachukuliwa kirahisi kama shamba boy
ewe kuna mashine inaitwa wanyantuzu usiombe dadekiNenda vijiji vya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mbeya, Ruvuma, Rukwa na Katavi utakutana na wanawake waliolelewa na wakaleleka.
Kila mwanaume kwao ni kama mfalme. Hawathubutu kamwe, huona soni na hivyo kutoka ndani mioyoni mwao huonesha heshima ya hali ya juu sana kwa kupiga magoti wanapomsalimia kila mwanaume bila kujali hali na hadhi yake.
View attachment 3167618
Angalia huyu jamaa anavyo-enjoy heshima ya kupewa salaam kwa kupigiwa magoti na wanawake wawili kwa mpigo. Halafu wala haringi.
Ukioa ktk vijiji vya mikoa hii, nakuthibitishia kuwa migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani na kuisoma mitandaoni tu.
Bado kitafunwaChai
Si umeona juzi vigogo wawili wamekata moto mfululizo.....uki dig inside utakuta ni stress za ndoa.Traditional conservative woman is definitely the best choice if you want to have peaceful marriage...
Marrying an educated modern african women with their ill-digested neo-feminism is the gravest mistake that you should avoid to make if you want to have peaceful marriage
Yaani wewe ni mimi mtupuuuu....Feminist attitude mwanaume lazima anihudumie nikimwonaga mwanamke wa hiyo I see her as a trush