Hawa ndiyo wanawake wa kuoa sasa. Wanawake ambao hawajaathiriwa na feminists, wako wengi mikoani

Hawa ndiyo wanawake wa kuoa sasa. Wanawake ambao hawajaathiriwa na feminists, wako wengi mikoani

hayo yote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo tu. hao wanawake huwa wanabadilika kutokana na mazingira, kaskilize wimbo wa prof jize-nikusaidiaje, ndio utaelewa.
 
Sasa hv hakuna tofauti ya wakjjn wala mjn kwani elimu na utandawazi vimeharibu kila kitu.

Ukifika wakati wewe jibebee kwa vigezo unavyotaka ila kwenye tabia usijiaminishe sana.

Hali ni mbaya kwenu vijana
Chai
 
These sort of women turn the households into political arena with endless arguments
I hate the idea mtu anakuketea malumbao yasiyo na maana na bado anakutegemea. Feminists are busy bragging how stable they are without mens, yet deep inside utakuta anamtegemea mwanaume mjinga flan a finance her basics needs.
 
Nenda vijiji vya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mbeya, Ruvuma, Rukwa na Katavi utakutana na wanawake waliolelewa na wakaleleka.

Kila mwanaume kwao ni kama mfalme. Hawathubutu kamwe, huona soni na hivyo kutoka ndani mioyoni mwao huonesha heshima ya hali ya juu sana kwa kupiga magoti wanapomsalimia kila mwanaume bila kujali hali na hadhi yake.

View attachment 3167618
Angalia huyu jamaa anavyo-enjoy heshima ya kupewa salaam kwa kupigiwa magoti na wanawake wawili kwa mpigo. Halafu wala haringi.

Ukioa ktk vijiji vya mikoa hii, nakuthibitishia kuwa migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani na kuisoma mitandaoni tu.
Mwalala uli...asante karesaa asante mkwai...TUTENZI TA.......😍😍😍😍
Hata unapompenyezea hulia kwa adabu na kuongeza mshawasha.....anyway nisha acha uhuni
 
Nenda vijiji vya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mbeya, Ruvuma, Rukwa na Katavi utakutana na wanawake waliolelewa na wakaleleka.

Kila mwanaume kwao ni kama mfalme. Hawathubutu kamwe, huona soni na hivyo kutoka ndani mioyoni mwao huonesha heshima ya hali ya juu sana kwa kupiga magoti wanapomsalimia kila mwanaume bila kujali hali na hadhi yake.

View attachment 3167618
Angalia huyu jamaa anavyo-enjoy heshima ya kupewa salaam kwa kupigiwa magoti na wanawake wawili kwa mpigo. Halafu wala haringi.

Ukioa ktk vijiji vya mikoa hii, nakuthibitishia kuwa migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani na kuisoma mitandaoni tu.
Una affinity na ushirikina?
 
Jichanganye labda hauajui wasukuma vizuri w
Nenda vijiji vya mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mbeya, Ruvuma, Rukwa na Katavi utakutana na wanawake waliolelewa na wakaleleka.

Kila mwanaume kwao ni kama mfalme. Hawathubutu kamwe, huona soni na hivyo kutoka ndani mioyoni mwao huonesha heshima ya hali ya juu sana kwa kupiga magoti wanapomsalimia kila mwanaume bila kujali hali na hadhi yake.

View attachment 3167618
Angalia huyu jamaa anavyo-enjoy heshima ya kupewa salaam kwa kupigiwa magoti na wanawake wawili kwa mpigo. Halafu wala haringi.

Ukioa ktk vijiji vya mikoa hii, nakuthibitishia kuwa migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani na kuisoma mitandaoni tu.
ewe kuna mashine inaitwa wanyantuzu usiombe dadeki
 
Traditional conservative woman is definitely the best choice if you want to have peaceful marriage...

Marrying an educated modern african women with their ill-digested neo-feminism is the gravest mistake that you should avoid to make if you want to have peaceful marriage
Si umeona juzi vigogo wawili wamekata moto mfululizo.....uki dig inside utakuta ni stress za ndoa.
 
Feminist attitude mwanaume lazima anihudumie nikimwonaga mwanamke wa hiyo I see her as a trush
Yaani wewe ni mimi mtupuuuu....

Kuna vikauli flani hivi feminists huwa wanavitoa huwa vinanifanya nihisi kutapika...
 
Back
Top Bottom