Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadosi Wa kaya au
daah hii nyimbo inankumbusha mbali sana.classicFarida,,oooh pesa una majina mengi,,Mara pesa oooh Mara fedha,,wewe pesa we ni kitu gani,,mbona wewe ni maarufu sana,,,
Hiyo anaitwa Ninachotaka aliimba Ismail...Rangi yako kama chungwa eee,,inayofanya mpaka Mimi nipagaweeeee......( nani aliimba)
Halafu kuna Vumilia( utanikumbuka kwa sema niliokutendea,,japo hutambuiii umuhimu waaaanguuuu)
Wanasema alienda Jeshi..wengine wanasema kawa TISSKuna mnyama anaitwa roho saba yupo wapi cku izi jamaaa
Mike Tizee.....Yule kijana wa Nyalu land...!
Kwenye Chati...hii ndo hit pekee toka kwake mbali na hapo alikuwa anabebwa na Sugu tu!!Balozi Dola Soul
Athuman MleviSOLID GROUND FAMILYView attachment 941282