Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Nasonga mbele..Mwanadada V2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasonga mbele..Mwanadada V2
Uko vizuri mkuuNasonga mbele..
Huyu sijui alipotelea wapi...Kazeze nayo ilikuwa kali...OCG nae yuko wapi? Alitamba na Akwelina
Lady Luu km cjakoseaUmemsahau Simba na Kevin pamoja na yule mdada...aliimba kwenye Hip Hop Raga
Hahaha wanamuziki wa zamani bana[emoji23] nimemuona kali p
By the way mliokua dar es salaam mwanzoni mwa miaka ya 2000 naomba mtuelezee kuhusu steve 2k
Huyu jamaa alikua ni mtu wa aina gani ? Social life yake na biography
Yah ni mwenyewe...Lady Luu km cjakosea
Caz TYule msanii aliyeimba wimbo "Nakuhitaji" anaitwaje?
Nakuhitaji mpenzi we nakuhitaji, unaniita?
Nakuhitaji mpenzi we nakuhitaji, unaniita?
Hapo kati kati anachanganya na kilugha kidogo, sijui kinyakyusa
Ni ndoto tata kweli.....ha ha ha nimeukumbuka huo wimbo ila msanii simpatiNani anamkumbuka Jiti...alitoa ngoma inaitwa 'ndoto tata' akimshirikisha waziri nyosso
Nani anamkumbuka Jiti...alitoa ngoma inaitwa 'ndoto tata' akimshirikisha waziri nyosso
Nani anamkumbuka Jiti...alitoa ngoma inaitwa 'ndoto tata' akimshirikisha waziri nyosso
Anaitwa Cheleaman"NAOMBA UNIPENDE KAMA NILIVYO MI MSELA...USINIACHE" jamaa simkumbuki jina, naye alipiga moja na kusepa.