Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Dooh kwahiyo yule kaka handsome we demiss Mungu anakuona
Super handsome,. Dimpoz kwa pozz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Super handsome,. Dimpoz kwa pozz
[emoji23] [emoji23] shunie katukataa wazi wazi
Ana yake tuu...shem darling ulivyo msupa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] si unaniona hapo..demiss kani expose
Yaaanii,.kafunge tuu pm[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usijali ataingia kwenye list ya milioneazzHayupooo!!!!ndio
Ndo mahala pake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usijali ataingia kwenye list ya milioneazz
Ukute hapo umetoka kukopa kipande cha ngisiShenzi, Jitaidi uweke na list yetu sisi mabilionea wa Jf sasa [emoji383]
Mh aisee tutake radhi we Demiss usijidai kwa kuwa mke wa mganga aisee maana nadhani unafahamu kuwa mganga nae ana mganga wake so sio ututusi kiasi hicho "Eti sura ngumu kama Chochoro za Mwananyamala" Dah yaani umekuwa na upendeleo km Jiwe kisa Mshana wako basi umegoogle picha nzuri na kumbatiza yeye wkt ukweli hayuko hivyo,Aisee the world isn't fair no more.1.View attachment 803829
Mshana Jr
2.View attachment 803830
GuDume
3.View attachment 803832
Mr Miller
4.View attachment 803833
Hazard fc
5.View attachment 803834
Humble African
Kwa hisani yangu kwa mara ya kwanza nimekutana na mahanshaamy kutoka Jf wengine loooh sura ngumu kama chochoro za Mwananyamala koma koma.
Demiss Malaikaa.
Yaani si bure, umezimika nakujua..!!!Kwahiyo hizo picha ndio wao eenh hao mahandsome
Umetishaaaa sanaaaaNdicho alichofanya mengi hata Kwa kuchelewa lakini kavuta miss Tanzania ndani...mtoto mkaaaali! Sasa hivi mzee wa watu anabinuka na yule mtoto mzuri kinyantuzu tena chumbani...! Wale hoehae wanamtia kwenye viganja vyao tu. [emoji23]
Kavurumusha mapacha ma HB..hana lawama tena kwa madogo, kawapa Uhb kirahisi sana.
Kwa Dada zangu una hela mkuu? Au ndio tia maji tia maji?
Nimecheka kwa sauti hapo kwenye bold.... Na mtoto wao je...!??Yaani baada ya kuona jina langu kwenye list ya ma HB hapa nilipo natembea kifua mbele Kama nimepigwa ngumi ya mgongo vile. Nimetanua mikono kama Nina majipu kwenye makwapa vile, Daamn! I feel so proud and confident mno. [emoji23] [emoji23]
Yaani huyo mshkaji anafanana na Mimi vibaya hadi dimples na light skinned. Mke wa mganga nae mganga tu sijui demiss kabla ya kupost hii alipiga nyanga kidogo then akatuona kwenye CCTV yake? Sijui?
But I'm humbled!
Yaani si bure, umezimika nakujua..!!!