Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Wewe wasema mm naongea nao face 2 face
 
Aiseeeee jamani mbona sijafanya chochote mme wangu Mshana ni hansahaaamy nan sasa amuone hanshaaamy kama siyo mimi
Mumeo yupo kwenye avatar yake na miwani yake bila shaka anaonekana kibonge na huwa hakosi kubeba mkoba begani sasa tunashangaa unatuletea huyo bwana mdogo wkt babu mashavu yashaanza kuomba poo.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,Yaani najicheki hapo kwenye Avatar kila mara bado siamini mi siyo handsome!
[emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimekuzooom haki nimecheka sana
 
Nitakutumia pm fungua hilo solex kwanza
Leo ni ijumaa..kwa sasa Niko kaunta napiga vitu...wee tuma tu nikifika home nitakufungulia...usihofu...nikiwasili tu home solex inajifungua yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…