Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woiiii nani kakudanganya mdogo angu nimefunga lakini mm nawafata pm zaoMm najua umefunga pm hakuna unayemjua hata mmoja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pitia uzi wangu mkuu sijui kuweka link .. unahsu jins ya kuondoa msongo karb mchang wko muhmHajakusahau mkuu! Maana ametumia darubini ya Mme wake ya rohoni kifupi katuona wote.
Wakati baba yangu anachukua wachuchu wakali baba zenu walikuwa wapi? [emoji23]
Hii comment yako inamkatisha tamaa sana mtukanaji.Mara 2 kila mmoja
Kina nani hao wenye bahati zao wanaofuatwa pm?[emoji51]Woiiii nani kakudanganya mdogo angu nimefunga lakini mm nawafata pm zao
Aseeeh nimefurahi sanaaa wallahHuwa namkubali sana dingi anasema hadi ukoo wa Rupaebalila wabaniani hawa aliwatimbia anataka kuchanganya damu. Kwenye hatua za mwisho kabisa wakatokea mbavuni...Ahahaha!
Nina bahati mbaya home Mimi ndio only boy waliobaki kama sita wote girls...Mimi nlikuwaga nawaona kama mbuzi but masela wakija home wananiambia mwanangu Sista ako yule tall ni mkali sana ...nawaona kama wananipigia kelele tu maana Mimi nawaona kama ng'ombe tu. Sijui kwanini hii inatokeaga hii?
Nilipokuwaga na miaka around 8 hadi 12 ukiniambia unaempenda Dada angu nakumind yaani nilikuwa naimagine kama ndo ushapumua nae tayari Kwenye ubed. Nilipokua nikagundua I was such a fool.
Occasionally, nimekula hela za madomo zege sana nilipojielewa.
Ila ni stress sana kukua na madada wakali same home.
Kina nani hao wenye bahati zao wanaofuatwa pm?[emoji51]
Njoo pm kwangu ipo
[emoji6] [emoji6]He he ebu uko
[emoji4]Next week itakuwa furaha zaidi
Ndicho alichofanya mengi hata Kwa kuchelewa lakini kavuta miss Tanzania ndani...mtoto mkaaaali! Sasa hivi mzee wa watu anabinuka na yule mtoto mzuri kinyantuzu chumbani tu...! Wale hoehae wanamtia mtoto mzuri kwenye viganja vyao tu na sabuni ya geisha.. [emoji23]mkuu na mimi nina huo mpango wa kusaka kamrembo matata ili nichanganye rangi, nasaka mahela kwanza si unajua tena watoto kama dada zako ,
japo ni hatari lakini ni faida kwa wanangu, watajua wakiwa wa kubwa kwa baba yao nlioa mtoto mzuri,,
hakuna kuogopa et oooh utachapiwa,, wacha wachape tuu, mi nazarisha tuuuuu[emoji23]