Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Aseeeh nimefurahi sanaaa wallah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnywe hivyohivyo
Khaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wapi mzigua
 
Ndicho alichofanya mengi hata Kwa kuchelewa lakini kavuta miss Tanzania ndani...mtoto mkaaaali! Sasa hivi mzee wa watu anabinuka na yule mtoto mzuri kinyantuzu chumbani tu...! Wale hoehae wanamtia mtoto mzuri kwenye viganja vyao tu na sabuni ya geisha.. [emoji23]

Kavurumusha mapacha ma HB..hana lawama tena kwa madogo, kawapa Uhb kirahisi sana.

Kwa Dada zangu una hela mkuu? Au ndio tia maji tia maji?
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…