Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
We shauka tu....Halafu pm zangu kwa nn haunijibu nimekukosea nn au sababu umeshajua nakupenda we babu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We shauka tu....Halafu pm zangu kwa nn haunijibu nimekukosea nn au sababu umeshajua nakupenda we babu
Weeeeeee. Nawajua hao wenye avatar wii embu usidanganye tafadhali. Ndo maana tunakimbianaga kisa kukuta tofauti na kwenye avatarNdo zenyeweee
Utaanza kulipia kwa namna nyingine, SIYO ILIYOZOELEKA...
Hapana nipo mbeya one time makao makuu nakuja jpili ndo maana nlitaka iwe muhimu maana ijumaa tena naelekea mwanzaUgenini ya wapi wakat najua upo makao makuuu
We shauka tu....
Wajinga sana Vodacom wanatoa Free photo Instagram ...sasa ule upuuzi unafanya simu yangu inagoma kufungua insta kila nkifungua Naambiwa Instagram has stopped...... Nikitumia data ya airtel mambo ni motoo ....nimewaambia waniondoe kwenye ofa yao ya kijinga sina shida nayo Mimi .....GB nnazoweka zinatosha haswaa kuperuzi mitandaoni ...hawataki kuniondoa ...wiki nzima nawabembeleza tuuuuuu nachukia sanaHahahah wamekufanyaje tena nao tuwachambeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiweza kunya kabisa maana wanakwaza sana kutumia picha yangu ovyo
Hao hao wengi wifi [emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo una mababy wengi yupi sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada niache tafadhali niendelee kujishauaMana nakuona tu hii mara ya pili sijui 3 babe wangu jamani ebu tupumzisheni
Kojoaaaaaaaaaaaa!!!!!tuone.Nakojoaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha kama kukopa labda kwa kimeiUkute hapo umetoka kukopa kipande cha ngisi
Tena poleni sana maana mtapata tabu sanaAiseeee hatutapumua nasema
Unataka kuona kweli nikikojoa?Kojoaaaaaaaaaaaa!!!!!tuone.