kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Unamanisha Kama Wana wa urusi Vita yakitaa hawajui kuzichapa auHata kazi yenyewe wanafanya kienyeji sana.
Kama mbowe anataka walinzi kweli wenye hadhi ya VIP protection awapeleke shule nje y nchi na pia wavae professional sio magwanda kama wauza mkaa.
Makomando hao wanachojua ni matumizi ya siraha na kupambana na hali ngumu msituni(survival skills) ndio mafunzo wanayopata pale 92KJ Ngerengere. Hakuna zaidi ya hapo.
Ukomandoo wao ungekua na faida kama wanapigana msitumi ila sasa threat wanayokutana nayo sio ya msituni na hawana hayo mafunzo.
Miezi 5 bila kula sio mchezo mmesahau sikuile mahakama ilisimama mbowe alivowasemeaIla wamechoka balaa
1. Mbowe hana chuo cha mafunzo ya UkomandooI mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
We jamaa! Miezi Mitano bila kula?Miezi 5 bila kula sio mchezo mmesahau sikuile mahakama ilisimama mbowe alivowasemea
Ndio kushindia maji mchezo na vibiskuti Mana kila warudipo selo walikuta wezao wamekula Tena kesho asb mahakamani kutoka 10 :30We jamaa! Miezi Mitano bila kula?
Mwisho wa komando akitoka jeshini ajira anayoweza kuipata ni ya ulinzi kampuni binafsi, hakuna zaidi ya hapo.I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Hizo backpacks ndizo bullet-proof vests zenyewe?I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Upeo wako aa mambo ni ndogo sana, uwezi jua kitu hata nipigie debe Siku nzima.Wakati wanaponda kokoto usalama haukuwadukua. Leo wamepata ajira ndio usalama wake wawadukue. Acha dharau zako za kupangiwa maisha na usalama as if ndio Mungu.
Hao jamaa nawafahamu wote punguza dharau kijanaI mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Umeshaanza nongwa zako!!
Uzito ni ukomandoo wa kizamani.
Ukomandoo wa kileo uko ndani ya kichwa zaidi.
Ndio maana pale kwa Pontio pilato akina Swilla walipewa za uso.
mi namfahamu mmoja hapo ni hatari huyu mleta mada hawajui anale comedy.Hao jamaa nawafahamu wote punguza dharau kijana
Duh, huu upumbavu wa huyu Nyani ulikuwa umenipita! Unafahamu kwa nini wamekwisha enda kwenye operesheni mbali mbali za kijeshi Darfur, DRC na kwingineko?I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!