Hawa ndo makomandoo wa Mbowe?

Unamanisha Kama Wana wa urusi Vita yakitaa hawajui kuzichapa au
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!

1. Mbowe hana chuo cha mafunzo ya Ukomandoo
2. Hawa wamefuzu vyuo/chuo/mafunzo ya taifa ya Ukomandoo na kupewa wadhifa huo. So ni makomandoo wa Tanzania. Unapowaponda hawa unaiponda nchi maana walitumikia nchi na walpelekwa kwenye mission na nchi kama makomandoo.

3. Hayo mengine sasa yanajadilika kama mavazi,mwonekano n.k. but komandoo si lazima awe na mwili mkubwa sana..anapaswa kuwa na uvumilivu wa hali ngumu na mateso na mbinu za kushinda hali hiyo. Hawa jamaa wameteswa sana bdo wakashikilia walichoshikilia....so walifuzu. Jeshi lilipaswa kudai watu wake warudishwe kazini watumikie Taifa.
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!

Mwisho wa komando akitoka jeshini ajira anayoweza kuipata ni ya ulinzi kampuni binafsi, hakuna zaidi ya hapo.
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!

Hizo backpacks ndizo bullet-proof vests zenyewe?
 
Wakati wanaponda kokoto usalama haukuwadukua. Leo wamepata ajira ndio usalama wake wawadukue. Acha dharau zako za kupangiwa maisha na usalama as if ndio Mungu.
Upeo wako aa mambo ni ndogo sana, uwezi jua kitu hata nipigie debe Siku nzima.
 
Hawa si ndio walitekwa kirahisi tu na akina kingayi. Na walisema walifungwa staili ya popo? Rubbish huenda ndio sababu ya kuachwa JW kuwa na low performance
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!

Hao jamaa nawafahamu wote punguza dharau kijana
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!

Duh, huu upumbavu wa huyu Nyani ulikuwa umenipita! Unafahamu kwa nini wamekwisha enda kwenye operesheni mbali mbali za kijeshi Darfur, DRC na kwingineko?
Unadhani waliowapeleka huko ni machoko kama wewe ambaye ushujaa wako ni kuwa nyuma ya keyboard?
Uwe na heshima hata kama unaitwa Nyani, ebo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…