longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
Unaweza kuuthibitisha huo Ugaidi?Hakuna komando hapo bali ufugaji wa kikundi cha kigaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuuthibitisha huo Ugaidi?Hakuna komando hapo bali ufugaji wa kikundi cha kigaidi
I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Eti magandwa kama wauza mkaa. Humu ndani watu wanavituko sana. Cheka balaaHata kazi yenyewe wanafanya kienyeji sana.
Kama mbowe anataka walinzi kweli wenye hadhi ya VIP protection awapeleke shule nje y nchi na pia wavae professional sio magwanda kama wauza mkaa.
Makomando hao wanachojua ni matumizi ya siraha na kupambana na hali ngumu msituni(survival skills) ndio mafunzo wanayopata pale 92KJ Ngerengere. Hakuna zaidi ya hapo.
Ukomandoo wao ungekua na faida kama wanapigana msitumi ila sasa threat wanayokutana nayo sio ya msituni na hawana hayo mafunzo.
Mkuu chura inakuwaje mtu wangu bado huko mafia unavua ngudu au usharudi kwenye kiti chako cha kuzungunga kwa mbele juu kuna picha ya mama?Unawazungumzia watu waliokaa mahabusu ziaid ya mitano bila msosi wa kueleweka? Ama kweli nyani ngabu huyu
Kwani Anord amekuwa komando lini ...au muvi ya commando John jeniii ndio wamempa na cheo Cha ukomandoTusitumie Anold Schwarzenegger na komando kuwa kipimo cha makomandoo wote duniani.
Aisee mmeshikilia sana hapo🤣🤣🤣🤣Mkuu chura inakuwaje mtu wangu bado huko mafia unavua ngudu au usharudi kwenye kiti chako cha kuzungunga kwa mbele juu kuna picha ya mama?
Na wewe ni komandoo?
Uzi duni sana !I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Mbona kingai alisawasha vibao mpaka wakajikojolea hahahaha hamna komandoo hapoKawaguse uone moto wao.
Msameeni, hajui anachoongeaHuyu jamaa anaongelea makomando wa kwenye movie za kimarekani akina RAMBO NA ANOLD,komando ni special force wala siyo big body,nyama zpo mpak kwenye sambusa pia komando mwili wake ni silaha...
Sasa wakutishe wewe Kwa nini?!!.. Kwahiyo serikali ilitudanganya hawa sio makomandoo[emoji23][emoji23][emoji23] watanzania wajinga sana!!..Hakuna wa kunitisha hapo.
Kawaguse bobHakuna wa kunitisha hapo.
Hahaaaaa,,weweee thubutuRahaa ya mziki uucheze. Mpike hata kofi moja alafu uje na marejesho kuliko kuongelea swala la nadharia wakati dunia ya leo ni vitendo
Hakuna komando hapo bali ufugaji wa kikundi cha kigaidi
Basi msaidie DPP afungue upya ile kesi!Hakuna komando hapo bali ufugaji wa kikundi cha kigaidi
I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!