Hawa ndo makomandoo wa Mbowe?

Hawa ndo makomandoo wa Mbowe?

I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!



Haa, mimi hao makomandoo wa Mbowe kwa mikono mikavu, nawapiga wote kwa mkupuo, yaani waje wote 2 kwa pamoja nawapiga na kuwatoa pumzi within minutes, nasema kweli.
 
😂😂😂😂team gaidi umepanic
... nikajua unazungumzia hatia kumbe tuhuma? Wewe ni malaya; utakuwa malaya kweli kwa kuwa nimesema au nimekutuhumu? Mbona waliondoa kesi?
 
Ilitakiwa kwenda mpaka mwisho ili muwaumbue zaidi badala yake mnachekelea msamaha aiseee
Kwa ushahidi ule kulikuwa na kesi pale???? Naona mmeumia kweli DPP kukubali kuwa kuna utaahira ulifanyika na kuamua kutenda haki
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!



Ndo kiwango cha makomondoo Tanzania, kama unamtaka Rambo nenda Marekani, ila kwa mujibu wa mafunzo ya jeshi la Tanzania wamepewa huo wasifu.
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!

Duh huyu mbowe ni tajiriiii
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!


Kwahiyo ukomando unapimwa kwa ukubwa wa mwili? Utashangaa nikikuambia makomandoo wa Israel nao Wana miili kama hao. Ukomandoo ni uwezo wa juu wa mtu kuvumilia shuruba, na sio miili mikubwa
 
Hamna kitu hapo, kwanza akiwaintertain ndio mbaya zaidi system inaweza kudokoa Mmoja Mmoja bila hata kujua, Nchi km nchi ukiona kuna mtu au kikundi cha watu kinachoahatarisha usalama iwe kwa njia yeyote km vile spy, traitor, na mvuja siri za nchi, haitaangalia cha rais wala nini ni nadukuliwa km kifaranga
Kuna kpmandoo hapo labda K*UMANDOO ya serikali ione tu makomandoo waliofukuzwa au kuacha kazi jwtz?

Hizo ni cartoon za mbowe na serikali inayomlea kwa kazi maalum,mbowe yuko kazini kama kawaida WAJINGA ndiyo watashabikia kile anachofanya kwa kutokujua ila mwenye akili hana muda mchafu kumtukuza mbowe kibaraka wa ccm
 
Hamna kitu hapo, kwanza akiwaintertain ndio mbaya zaidi system inaweza kudokoa Mmoja Mmoja bila hata kujua, Nchi km nchi ukiona kuna mtu au kikundi cha watu kinachoahatarisha usalama iwe kwa njia yeyote km vile spy, traitor, na mvuja siri za nchi, haitaangalia cha rais wala nini ni nadukuliwa km kifaranga

Wakati wanaponda kokoto usalama haukuwadukua. Leo wamepata ajira ndio usalama wake wawadukue. Acha dharau zako za kupangiwa maisha na usalama as if ndio Mungu.
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!



Kwa hivyo Tanzania hamna makomandoo?. Acha matusi reja reja. Tatizo mnadharau profession za watu wengine. Au kisa wapo chadema?.
 
Hata kazi yenyewe wanafanya kienyeji sana.

Kama mbowe anataka walinzi kweli wenye hadhi ya VIP protection awapeleke shule nje y nchi na pia wavae professional sio magwanda kama wauza mkaa.

Makomando hao wanachojua ni matumizi ya siraha na kupambana na hali ngumu msituni(survival skills) ndio mafunzo wanayopata pale 92KJ Ngerengere. Hakuna zaidi ya hapo.

Ukomandoo wao ungekua na faida kama wanapigana msitumi ila sasa threat wanayokutana nayo sio ya msituni na hawana hayo mafunzo.

Bora wewe umeelezea vizuri bila dharau.
 
I mean, WTF!!!

Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.

Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?

Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.

Not impressed at all!

Hakuna tactical details ulizoandika hapa.
Umeanza na mipasho halaf unapima uzito kwa macho?
Comeon man , you are better than this
 
Tusitumie Anold Schwarzenegger na komando kuwa kipimo cha makomandoo wote duniani.
 
Back
Top Bottom