Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Wewe Mleta mada kaa hapo hapo na upumbavu wako watanzania kibao wamewekeza China
Mmojawapo huyu hapa
View: https://youtu.be/QQh-Bakln4E?si=NY2K2KNIIGMZIX3y
Mkuu, watanzania wangapi wameweza kuwekeza China?
Baadaye mtaanza kuwa manamba kwenye nji yenu wenyewe?
Wanatakiwa wawekezaji katika uzalishaji na sio uchuuzi.
Halafu mbona Zanzibar hawaingii? Hakuna mazingira mazuri kwa wao kufanya uchuuzi kule?