Hawa ndo waekezaji wa kichina

Hawa ndo waekezaji wa kichina

Wewe Mleta mada kaa hapo hapo na upumbavu wako watanzania kibao wamewekeza China

Mmojawapo huyu hapa


View: https://youtu.be/QQh-Bakln4E?si=NY2K2KNIIGMZIX3y

Mkuu, watanzania wangapi wameweza kuwekeza China?
Baadaye mtaanza kuwa manamba kwenye nji yenu wenyewe?

Wanatakiwa wawekezaji katika uzalishaji na sio uchuuzi.

Halafu mbona Zanzibar hawaingii? Hakuna mazingira mazuri kwa wao kufanya uchuuzi kule?
 
Mkuu una hoja ila unaiwasilisha kizembe. Hizo bidhaa za bei ndogo wanazouza wachina wanunuzi sio watanzania? Mtanzania akinunua pisi 500 kwa mchina, anaenda kuzivaa yeye mwenyewe hizo pisi zote au anaziuza (biashara)? Sasa kama watanzania wanafaidika na uwepo wa wachina huoni andiko lako linakuwa la kinyonyaji kutaka bidhaa ziuzwe bei ghali kwa kuwa tu wafanyabiashara ni ndugu zangu na sio wachina!!
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.

Jiulize kwanini China aliwabana wazungu na makampuni yao wasifanye biashara China waziwazi
 
Mkuu, watanzania wangapi wameweza kuwekeza China?
Baadaye mtaanza kuwa manamba kwenye nji yenu wenyewe?

Wanatakiwa wawekezaji katika uzalishaji na sio uchuuzi.

Halafu mbona Zanzibar hawaingii? Hakuna mazingira mazuri kwa wao kufanya uchuuzi kule?
Watu wanaropoka tu leo hii mchina anakuja kuuza mabegi au yeboyebo kweli

Nimeamini uwezo wa Tanzania wengi ni mdogo sana
 
Endeleeni kubeti na kushabikia kataa ndoa
Wenzenu watawajengea mpaka nyumba za madanguru,
Mpaka tenda za kofia za chama wao
Mcheke, mnune wao watakuwepo sana mpaka mkimbie
Na ubaguzi utawaisha maana wanazaa chotara pia na wanakuwa wazawa
 
Endeleeni kubeti na kushabikia kataa ndoa
Wenzenu watawajengea mpaka nyumba za madanguru,
Mpaka tenda za kofia za chama wao
Mcheke, mnune wao watakuwepo sana mpaka mkimbie
Na ubaguzi utawaisha maana wanazaa chotara pia na wanakuwa wazawa
Wakulaumiwa ni viongozi na sio wananchi viongozi ndo wanaowapa vibali
 
Kuna sheria inayokataza wageni/wachina kufanya shughuli fulani?

Tatizo ni wachina au wageni wote?

Nyie mmekatazwa kufanya hizo shughuli kwao? Wabongo na waafrika kwa ujumla wamejaa China, Ulaya na America na wanamiliki biashara kama hizo hizo mnataka nao wafukuzwe huko?

Kama hawalipi kodi hilo ni tatizo lenu sio wao. Inamaanisha mifumo yenu ipo weak. Kwao mgeni au mwenyeji huwezi kwepa kodi.

Watanganyika tafuteni exposure dunia ishakua kijiji huo upumbavu wenu endelevu wakuendelea kuogopa wageni, kutoka nje ya nchi na kuongea kingereza utawamaliza sooner than later.
 
Maadamu wanatoa ajira sio mbaya hata genge wafungue tu ili wachangamshe wabongo wanaoamini bila mganga utoboi
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
Mchina akifungua car wash moja wewe fungua zako mbili. Au wanakuzuia?
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
We umefungua nini

Ova
 
Back
Top Bottom