Hawa ndo waekezaji wa kichina

Hawa ndo waekezaji wa kichina

Chadema ndani mmewekeza nini cha kuongeza kodi za serikali na ajira?

Mbachojua ni kukamua watu tu pesa zao kupitia tone tone

Wacheni hao wachiba waajiri watu ambao mwaweza wakamua hizo tone tone zenu za kitapeli
Nyie UWT mmewekeza nini?
 
Wapo watanzania wengi Wana biashara kama hizo sehemu mbalimbali duniani. Na hao una shauri nini kwa hizo serikali kwa nchi walizopo?
duh akili za mtu mweus ni majanga , Nan ataikomboa Afrika kama mwafrika anawaza. hv
 
Wewe umekatazwa kwenda china kuyafanya hayo yote uliyoyaorodhesha.
Dunia haina mipaka kwa wenye uthubutu!
Hajazuiwa moumbavu tu huyu mleta mada
China Tanzania tuna machinga wengi kuliko wachina walioko Tanzania

Sema hahasafiri China akaona hali halisi hana exposure kazaliwa kijijini kakulia kijijini ,kasoma kijijini na akifa anataka kuzikwa kijijini msamehe bure huyo na zero expiossure yake

Kuna wakati serikali ilisikiliza huo ushauri kuwa ohh wachina wadhibitiwe uwekezaji

Serikali ya china ikajibu mapigo kuwa haitatoa visa yeyote ya mtu kwenda china kutembea au kibiashara au kufuata bidhaa waagize tu mtandaoni au watumie maagenti wa China walioko Tanzania au nchi jirani au mitandaoni wawaletee

Wafanyabiashara wa Tanzania walikimbilia serikalini wenyewe kulia kuwa serikali iwaache wachina ili na china iwaachie wafanye biashara nchini kwao
 
Wapo watanzania wengi Wana biashara kama hizo sehemu mbalimbali duniani. Na hao una shauri nini kwa hizo serikali kwa nchi walizopo?
Uko sahihi mfano biashara ya nguo na viatu vya mitumba kenya wafanyabiashara walioshikilia hiyo biashara ya jumla na rejareja na umachinga ni watanzania

Pia kazi za u house girls Kenya wafanyakazi wengi ni watanzania na soko lao kubwa sana
 
Nyie UWT mmewekeza nini?
Umoja wa wanawake Tanzania una miradi kibao inaingiza mabilioni kwa mwezi

Wamewekeza sana kwenye majengo.ya kupangisha yako mfano jijijini Dar es salaam kuna magharofa ya apartments kibao
,umoja wa vijana vivyo hivyo nk
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
Wanasiasa wetu watakuelewa sasa.
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
Wacha kupoteza muda kuwapiga vita Wachina. Instead chukua muda wako kuiga wanachofanya ili na wewe ujikwamue.

Wachina ni kama maji, usipoyafulia utajengea nyumba. Usipoyaoga utayanywa kukata kiu. Acha upuuzi kijana fanya kazi
 
Wananchi ni pamoja na wafanyabiashara nchi zote duniani lazima zilinde wananchi wake ambao ni pamoja na wafanyabiashara
Sasa si unajua kuhusu wengi wape? Yaani tulinde wafanyabiashara wanaouza vitu bei ghali ilhali kuna wengine wanauza bidhaa hizohizo kwa bei nafuu na wanalipa kodi?
 
Wewe siunajifanya unaakili onyesha cha maana ulichofanya
yaani wewe unachojua ni kutukana endelea kuporomosha matusi mbona umeacha ulifikiri mimi ni mjinga kama wewe ntakutukana sikutukani ng'o
We ni mjinga wa mwisho
Wewe ndio mjinga ambaye unataka kuonyeshwa vitu, sehemu ambayo hatujuani.

Hapa hatujuani, tupo kwa ajili ya mijadala, Sio kuonyeshana vitu.

You need a quick brain reset.
 
Wewe ndio mjinga ambaye unataka kuonyeshwa vitu, sehemu ambayo hatujuani.

Hapa hatujuani, tupo kwa ajili ya mijadala, Sio kuonyeshana vitu.

You need a quick brain reset.
Kama hatujuani kwanin mara nyingi unahitimisha waafrika wote ni wajinga
 
Sasa si unajua kuhusu wengi wape? Yaani tulinde wafanyabiashara wanaouza vitu bei ghali ilhali kuna wengine wanauza bidhaa hizohizo kwa bei nafuu na wanalipa kodi?
Kuna mambo mengi huyajui hao wafanyabiashara wa kibongo wengine ni ndugu zako, marafiki zako, majirani zako, wengine classmate ambapo hata ukipata shida hawa ndo wakwanza kukusaidia na sio wachina
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
Mbona nyie mmejazana kwao mnafungua migahawa maisha popote kama unajimudu fungua pembeni yake pambana
 
Umoja wa wanawake Tanzania una miradi kibao inaingiza mabilioni kwa mwezi

Wamewekeza sana kwenye majengo.ya kupangisha yako mfano jijijini Dar es salaam kuna magharofa ya apartments kibao
,umoja wa vijana vivyo hivyo nk
Hongereni UWT
 
Hizi ndo akili za mwafrika furaha yake ni kuona wenzake wanateseka na akipata shida anataka aliowaombea mabaya wamsaidie
Hapana hao walikuwa wanauza kwa Bei juu mno, blenda inafika dukani kwa 35k wao wanauza 87k so mchina anauza 40k anapata 5k. Hao jamaa kwanza waliokuwa wanauza kwa 87k walikuwa hawawatakii mazuri Hawa watanzania so saivi imegeuka kwao.
Iko ivi bro moyo unalipa ulichopewa. Yaani unaweza ukawa tajiri na ukapendwa na masikini ni namna ya wewe unavyoishi na jamii yako, ukiwa unabadilisha magari sio tiketi ya kuwadharau wanapanda daladala. Sasa wacheke later ukikosa hiyo gari na wao lazima watakucheka.
Sikia na elewa hufundishi moyo kitu wenyewe unajua cha kufanya, ulichopanda unavuna icho icho.
If you need love give more love ,if you need more respect give more respect, if you wanna protection give more etc
Listen we tend and we always receive 2-10 times of what we planted on the ground bro.
Check mbegu moja ya mahindi ukiipanda inatoa mahindi mangapi. The same applied to human life.
To every action there's an equal and opposite reaction.
If a body is in system of equilibrium Sasa disturb that system yenyewe itaj balance , mtu Yuko calm emotionally wewe disturb him mpe furaha Naye atakupa furaha zaidi Mana umemuwekea kitu kigeni kwake like new electrons so lazima akitoe ili aendelee kwenye equilibrium ki Kani ama ki hisia
 
Back
Top Bottom