Mkuu, watanzania wangapi wameweza kuwekeza China?Wewe Mleta mada kaa hapo hapo na upumbavu wako watanzania kibao wamewekeza China
Mmojawapo huyu hapa
View: https://youtu.be/QQh-Bakln4E?si=NY2K2KNIIGMZIX3y
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.Mkuu una hoja ila unaiwasilisha kizembe. Hizo bidhaa za bei ndogo wanazouza wachina wanunuzi sio watanzania? Mtanzania akinunua pisi 500 kwa mchina, anaenda kuzivaa yeye mwenyewe hizo pisi zote au anaziuza (biashara)? Sasa kama watanzania wanafaidika na uwepo wa wachina huoni andiko lako linakuwa la kinyonyaji kutaka bidhaa ziuzwe bei ghali kwa kuwa tu wafanyabiashara ni ndugu zangu na sio wachina!!
Watu wanaropoka tu leo hii mchina anakuja kuuza mabegi au yeboyebo kweliMkuu, watanzania wangapi wameweza kuwekeza China?
Baadaye mtaanza kuwa manamba kwenye nji yenu wenyewe?
Wanatakiwa wawekezaji katika uzalishaji na sio uchuuzi.
Halafu mbona Zanzibar hawaingii? Hakuna mazingira mazuri kwa wao kufanya uchuuzi kule?
Kuna mahali huku mtaani niliona wachina wanaangalia flemu kwa ajili ya biashara.Watu wanaropoka tu leo hii mchina anakuja kuuza mabegi au yeboyebo kweli
Nimeamini uwezo wa Tanzania wengi ni mdogo sana
Wakulaumiwa ni viongozi na sio wananchi viongozi ndo wanaowapa vibaliEndeleeni kubeti na kushabikia kataa ndoa
Wenzenu watawajengea mpaka nyumba za madanguru,
Mpaka tenda za kofia za chama wao
Mcheke, mnune wao watakuwepo sana mpaka mkimbie
Na ubaguzi utawaisha maana wanazaa chotara pia na wanakuwa wazawa
Mambo ya hovyo sanaKuna mahali huku mtaani niliona wachina wanaangalia flemu kwa ajili ya biashara.
Mchina akifungua car wash moja wewe fungua zako mbili. Au wanakuzuia?Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
- Wachina wanafungua car wash
- Wachina wanafungua supermarket
- Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
- Wachina wanafungua maduka ya rejareja
- Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
- Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
- Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
- Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
- Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
Kwa akili hizi ndo maana afrika ni maskiniMchina akifungua car wash moja wewe fungua zako mbili. Au wanakuzuia?
Kwa akili hizi ndo maana afrika ni maskini pata picha mtu kama huyu anakuja kuwa kiongoziKama hawalipi Kodi hizo bidhaa zinaletwa na ungo wakilipa bandarini tosha
Africa haiwezi kuwa tajiri kwa kuzuia tunatakiwa tuwe productive kama hao wachina.Kwa akili hizi ndo maana afrika ni maskini
Uwe productive inabidi uwekezaji na sio kukaribisha wachuuziAfrica haiwezi kuwa tajiri kwa kuzuia tunatakiwa tuwe productive kama hao wachina.
Wawekeze au wanafanya uchuuziWawekeze tu.
We umefungua niniHawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
- Wachina wanafungua car wash
- Wachina wanafungua supermarket
- Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
- Wachina wanafungua maduka ya rejareja
- Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
- Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
- Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
- Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
- Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa