Mshukuru sana Muumba mkuu, kuna watu wanataabika sana hapa ulimwenguniDah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Wewe upo kwenye hizo namba nini?Hiyo ya kwanza na pili(1 & 2) nimeielewaπ
Kumbe mwanangu raraa reree we wakishua eeh?! ππππ
Kama vipi kaoge maji ya baharini mkuu πKumbe sina bahati.
5. Mtu ambae yupo JF Muda huu5)... ongezea
Vyote hivyo nishafanya hadi chumvi ya mawe nimeogea sana.Kama vipi kaoge maji ya baharini mkuu π
Chief mbona unajisifia hivyo kama unatafuta watejaππππππππDah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Mtu unaekaribia kuolewa hivi pundeMtu mwenye afya njema na viungo vya mwili vimekamilika
Kivp tena bruhKumbe mwanangu raraa reree we wakishua eeh?! ππππ
Kumbe kuna wakati Una mwaga wino. Endelea kufanya hivyo badala ya kulike post za watu pekee. Yani wewe kila comment kwako ni like Tu. Una like comments mbili zinazokinzana, unashindwa kueleweka uwekwe kundi Gani. Hakuna mtu wa namna hiyo duniani hapa.Kivp tena bruh