Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Bila picha, hii ni chai ya rangi ya baridi.Dah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila picha, hii ni chai ya rangi ya baridi.Dah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Nakutumia PMBila picha, hii ni chai ya rangi ya baridi.
John asubuhi tu tumekusifia umeona uje ujisilibie na uhendisamu sio.....Dah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Asante mkuuAsiye na stress yaani hawazi sana mambo ya ofisi kazi au masomo
Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakunoJohn asubuhi tu tumekusifia umeona uje ujisilibie na uhendisamu sio.....
Hii ndo list ya watu wenye bahati dunia:
1) Mtu aliyepata ajira mara tu baada ya kumaliza chuo/masomo
2) Mtu aliyezaliwa kwenye familia tajiri
3) Mtu aliyepata mpenzi/ mke/ mume sahihi kwenye mahusiano yake ya kwanza tu
4) Mtu ambae yupo carefree
5)... ongezea
Mie situmii hizo fesibuku niwekee picha hapa au pm nikuone kama ni muhendisamu.Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakuno
😂 Kwa ufupi kuzaliwa ulaya😂Ongezea hapo ambae kazaliwa nchi tofaut na Tanzania.
Hiyo ni maiti au sio binadamu wa kawaida.Asiye na stress yaani hawazi sana mambo ya ofisi kazi au masomo
Dahh! Nna bahati sana kujibiwa nawe mkuu! 😀😁😁😁👍Kivp tena bruh
K vant na konyagi zitakumaliza mkuu.Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakuno
Dah, ya kwanza inanihusu. Nilipata kazi ya kwanza nikiwa namalizia forth year FoE enzi hizoHii ndo list ya watu wenye bahati dunia:
1) Mtu aliyepata ajira mara tu baada ya kumaliza chuo/masomo
2) Mtu aliyezaliwa kwenye familia tajiri
3) Mtu aliyepata mpenzi/ mke/ mume sahihi kwenye mahusiano yake ya kwanza tu
4) Mtu ambae yupo carefree
5)... ongezea
SA hv tunakunywa hizi brandy ikiwemo hanson.. Vp ulienda kutazama profile yangu?K vant na konyagi zitakumaliza mkuu.
Ndio mkuu😂😂SA hv tunakunywa hizi brandy ikiwemo hanson.. Vp ulienda kutazama profile yangu?
Nimekonda sana mkuu? Ndo mwili wangu mzeeNdio mkuu😂😂