Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 905
- 1,002
pumbafu5. Mtu ambae yupo JF Muda huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pumbafu5. Mtu ambae yupo JF Muda huu
Samahani...Boss nakukumbusha bado hujalipia tangazo.Dah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
🤣🤣🤣Dah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Yani huyo wa carefree ndo balaaHii ndo list ya watu wenye bahati dunia:
1) Mtu aliyepata ajira mara tu baada ya kumaliza chuo/masomo
2) Mtu aliyezaliwa kwenye familia tajiri
3) Mtu aliyepata mpenzi/ mke/ mume sahihi kwenye mahusiano yake ya kwanza tu
4) Mtu ambae yupo carefree
5)... ongezea
Mwamba huyu hapa #HANDSOMEBOY🤣🤣🤣Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakuno
We unaonaje nilitaka niseme umefanya kosa ku post huku ila nimeona sio hatari kihivo ndo mimi huyo.. Good news Nina kakibarua +hofu ya Mungu +imani +akiliMwamba huyu hapa #HANDSOMEBOY🤣🤣🤣View attachment 3022317
Ivi unajisikiaje wewe mzuri, itakuwa Kuna namna 🤔🤔Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakuno
Aliye bahatika kutoa bikraHii ndo list ya watu wenye bahati dunia:
1) Mtu aliyepata ajira mara tu baada ya kumaliza chuo/masomo
2) Mtu aliyezaliwa kwenye familia tajiri
3) Mtu aliyepata mpenzi/ mke/ mume sahihi kwenye mahusiano yake ya kwanza tu
4) Mtu ambae yupo carefree
5)... ongezea
Dah…meanaume mzima kumbe ni mtito Kinyaturu? Halafu na wewe unajiita hivyo…dah, nimelia sana.Dah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Mkuu we ni legend umesoma enzi za FoE kabla haijawa COETDah, ya kwanza inanihusu. Nilipata kazi ya kwanza nikiwa namalizia forth year FoE enzi hizo
Yes, 1996 to 2000Mkuu we ni legend umesoma enzi za FoE kabla haijawa COET
Heshima yako broh coz umesoma enzi hizo pale kiungani palikua the home of intellectuals....Yes, 1996 to 2000
RespectYes, 1996 to 2000