Hawa ni Viongozi waliotumbuliwa na hayati Magufuli kimakosa kwa sababu za kisiasa au chuki binafsi


Sasa mbona Le mutuz alikuwa anamsifia marehem??
 

Mkuu umewasahau Kabwe na aliekuwa Mkurugenzi wa NDC.
 
"NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO"
 
Pamoja na yote magufuli alikuwa na chuki sana na kisasi pia , bora aendelee kuliwa na funza huko aliko, aliumiza sana watanzania wasio na hatia huyu mbwa.
 
Kati ya hao watatu, wawili ndio hawakuwa na sababu yeyote ya kutumbuliwa. Ila huyo Dr. Malecela hakutumia busara kukimbilia kwenye vyombo vya habari kuutahayarisha ulimwengu kuhusu Tanzania. Nchi si maabara kwamba iendeshwe na kile ulichokiona kwenye darubini za maabara peke yake. Aliwashwawashwa na nini kwenda kwenye kamera na kuropoka bila kushauriana na mamlaka za juu?
 
Umemsahau CEO mahiri na Msajili wa Hazina Lawrence Mafuru. Yaani kitendo chake kusema si vibaya taasisi za umma kuweka pesa ya muda maalum bank maana inawawapa faida kesho yake alifutwa kazi. Yaani boss wake alitaka taasisi zote zinazozalisha ziweke pesa BOT. Yaani kiuchumi pesa inasimama
iddle. Ni kitisho. Kumbe lengo kutoa amri kuzitumia na mifuko ya pension imekuwa mhanga inajiendesha kimagumashi.

Mungu ni fundi.
 
Umemsahau CEO mahiri na Msajili wa Hazina Lawrence Mafuru. Yaani kitendo chake kusema si vibaya taasisi za umma kuweka pesa ya muda maalum bank maana inawawapa faida kesho yake alifutwa kazi. Yaani boss wake alitaka taasisi zote zinazozalisha ziweke pesa BOT. Yaani kiuchumi pesa inasimama
iddle. Ni kitisho. Kumbe lengo kutoa amri kuzitumia na mifuko ya pension imekuwa mhanga inajiendesha kimagumashi.

Mungu ni fundi.
 
Kumbe kuna Wakurya wazuri,huyo Nyambura mwenye namba yake anisaidie
 
umemsahau dr. suzan kolimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa siyo Ebola. Ni ugonjwa wa Usonji.Kiiglish chake sijui. Ila walipata watoto kadhaa.
Chuki ni Mwele akigombea Urais. Watu wote waliogombea 2015 aliwafanya maadui. Kumbuka Membe, January, Mwigulu, Mwele, Mwandosia n.k
 
Waziri wa afya alikuwepo siku ile Mwele anatangaza, alihudhuria kwa nafasi ipi?
Kuhudhuria kwa waziri wa wizara husika maana yake Mwele alikuwa na baraka zote za wizara husika.
 
Kwa kosa gani wakati ule ulikuwa ni uamuzi wa wizara . Mawaziri na katibu mkuu mbona hawakuhusika ?!. Au anayekamatwa na ngozi ndiyo mwizi ?!
Halafu ukizingatia kwamba alikuwa Naibu Katibu Mkuu alikuwa anatekeleza maamuzi ya Wizara. Yeye hakuwa na maamuzi yake mwenyewe.

Lakini kuondoa certificate level haukuwa uamuzi wa busara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…