yusuph bukombe
Senior Member
- Jul 31, 2015
- 135
- 152
Hapo sasa na ww umechemka Kama papai limetoa juice au takataka utasema kwa watu mashine imetoa unga ulitakiwa useme jamani imetoa kitu cha ajabu hapo watu watakuelewa eti ukisema mashine imetoa juice chafu watu watakuona nangaMachines ziko calibrated kupima vimelea vya binadamu. Ukipeleka chembe chembe zingine ambazo siyo vimelea vya binadamu kama mapapai na oil itakupa majibu yeyote na siyo majibu sahihi.
Sawa na mashine ya kusaga mahindi, inapaswa kukupa unga. Ila ukiweka mapapai usitegemee kupata unga, Ila unaweza kupata juice au takataka
Papaa mobimba a.k.a le mbebez atakuwa nje ya nchi akiendelea na matibabu. You know!Hivi Le Mutuz yupo kweli maana sijamsikia siku nyingi
Sawa kabisa
Kitendo cha kumtolea mfano huyo mama peke yake ni kiashiria kwamba hao wengine na wewe una wasi wasi kwamba pengine aliwatongoza wakamtosaACHA UNAFIKI NA HUYO MAMA WA ELIMU MZEE HIVYO NAYE ALIMTONGOZA? KUWA NA HESHIMA NA ADABU PUMBAFU WEWEE
Na vile ni weupe hata mimi nahisi hivyo.
🤣 🤣 🤣 kabisa. Padri akakasirika, akapita na nafasi yake Katekista. Ikawa jioni, ikawa asubuhi. Mwele akajikuta anasomekea Benin kwenye shavu jipya. Akamwacha Padri akiendelea kuongea kwa povu ambalo si la nchi hii. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.Kosa la Mwele lilikuwa dhahiri- akiwa Katekista akasoma injili wakati Padri yupo
Mkuu kuwa katekista sehemu fulani inaweza kuwa bora zaidi kuliko kuwa mchungaji sehemu nyingine. Usilinganishe kuna vingine havilinganishwi🤣 🤣 🤣 kabisa. Padri akakasirika, akapita na nafasi yake Katekista. Ikawa jioni, ikawa asubuhi. Mwele akajikuta anasomekea Benin kwenye shavu jipya. Akamwacha Padri akiendelea kuongea kwa povu ambalo si la nchi hii. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
So sad. I hope Amina ni mzima. Kisa alionesha pia mapenzi kwa Lowassa. Na team Lowasa walimpigiakura na ni wengi. Usiniulize ni nani alishinda kihalali na kilichotokea😣😣😣😣😣Na yule mzenji Dr. Amina aliyeingia nae top 3, yaani baada ya kura za maoni mpaka leo hajulikani yupo wapi. Halafu cha kufurahisha, Mwendazake akawa anamwambia Hussein Mwinyi asiwasahau wale wenzie 11 aliochuana nao kura za maoni. Mambo ya nyani haoni kundule
Kukosea siyo uongo. Just present it politely. Muhimu ni kinyongo kilitumika. Yako wapi sasa? Mungu ni fundi kuzidi mafundi wote duniani.Acha uongo ilikuwa ni Zica...punguzeni uongo wana Jf
Walitueliwa na nani?1. Dr. Nyambura Moremi
View attachment 1755243
Alikuwa ndiye mkurugenzi wa maabara ya taifa na fya ya jamii.
Alitumbuliwa kipindi janga la corona limepamba moto kwa kisingizio kwamba alipima sampuli ya ndege aina ya kware, mbuzi na mapapai vikakutwa na virusi vya corona.
Kimsingi, Dr Nyambura hakuwa na kosa bali alitimiza wajibu wake wa msingi kwa uweledi kulingana na taaluma yake kwa kuripoti majibu kadri ya kipimo kilivyoonyesha.
Itakumbukwa ni katika kipindi hicho hayati magufuli alitaka kuaminisha dunia kwamba nchi yetu haina ugonjwa korona kwahiyo hakuwa tayari kusikia taarifa yoyote juu ya uwepo wa ugonjwa huo. Hata hivyo baadae iligundulika vipimo vilivyotumika kupima sampuli vilikuwa na kasoro, hivyo Dr Nyambura alitumbuliwa kimakosa.
2. Dr Mwele Ntuli Malecela
View attachment 1755245
Alikuwa ni mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu(NIMR).
Kipindi kumeibuka na ugonjwa usiojulikana uliohusishwa na ugonjwa wa homa ya dengue jijini Dar es Salaam, Dr mwele chini ya taasisi aliyoiongoza(NIMR) walifanya utafiti wakagundua ni ugonjwa wa zika ndipo akatangazia umma ili watu wachukue tahadhari ya kujikinga na kujilinda dhidi ya ugonjwa huo. Lakini kitendo hicho kilionekana kuwa chukizo kwa hayati magufuli akaamua kumfukuza kazi huku akimtuhumu kwamba anatumiwa na mataifa ya nje (mabeberu kama alivyopendelea kuwaita) bila ushahidi wowote wa kuthibitisha kauli yake hiyo.
Hata hivyo inasadikika kuwa kutumbuliwa kwa Dr mwele ulikuwa ni mwendelezo wa chuki binafsi ya hayati magufuli na familia ya malecela kwani hapo kabla aliwahi kumfuta kazi ya ukuu wa mkoa mama yake mwele( anne kilango malecela) kipindi cha sakata la watumishi hewa.
3. Dr Ave Maria Semakafu
View attachment 1755246
Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.
Alitumbuliwa kwa kosa la kutaka kuboresha elimu ambapo awali alitangaza kufuta mafunzo na ualimu wa cheti jambo ambalo Hayati Magufuli aliita ni uamuzi wa kipumbavu na baadaye akamfuta kazi.
Hata hivyo, Dkt. Semakafu alitumbuliwa kimakosa kutokana na sababu za kisiasa kwani kwa wakati huo kampeni zilikuwa zimepamba moto hivyo hayati magufuli alifikia uamuzi wa kumfukuza Dkt. Semakafu kama njia ya kujitafutia kura kwa wananchi ila suala la kuboresha elimu ni miongoni mwa sera zilizoko kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi(CCM) 2020-2025 ambayo hayati mwenyewe alizunguka kuinadi nchi nzima.
Kuna mgonjwa yoyote wa ZICA Tanzania? Au Mwele alitoa wapi hizo hadithi?Ishu ya Mwele Malecela ilikuwa ni ugonjwa wa ZICA na sio homa Dengue
Nape hawezi kufika mbali kwenye siasa. Ana uchu mno wa madaraka. Anaogopesha.Hell no
Nape anaendekeza tumbo
Hivi Gwajiboy mfufua wafu hakuweza?Kipindi Cha jiwe.kilakitu kiliwezekana.kasoro kufufua wafu ndio ilikuwa ngumu.
Kwa hiyo unataka kusema nini sasa???1. Dr. Nyambura Moremi
View attachment 1755243
Alikuwa ndiye mkurugenzi wa maabara ya taifa na fya ya jamii.
Alitumbuliwa kipindi janga la corona limepamba moto kwa kisingizio kwamba alipima sampuli ya ndege aina ya kware, mbuzi na mapapai vikakutwa na virusi vya corona.
Kimsingi, Dr Nyambura hakuwa na kosa bali alitimiza wajibu wake wa msingi kwa uweledi kulingana na taaluma yake kwa kuripoti majibu kadri ya kipimo kilivyoonyesha.
Itakumbukwa ni katika kipindi hicho hayati magufuli alitaka kuaminisha dunia kwamba nchi yetu haina ugonjwa korona kwahiyo hakuwa tayari kusikia taarifa yoyote juu ya uwepo wa ugonjwa huo. Hata hivyo baadae iligundulika vipimo vilivyotumika kupima sampuli vilikuwa na kasoro, hivyo Dr Nyambura alitumbuliwa kimakosa.
2. Dr Mwele Ntuli Malecela
View attachment 1755245
Alikuwa ni mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu(NIMR).
Kipindi kumeibuka na ugonjwa usiojulikana uliohusishwa na ugonjwa wa homa ya dengue jijini Dar es Salaam, Dr mwele chini ya taasisi aliyoiongoza(NIMR) walifanya utafiti wakagundua ni ugonjwa wa zika ndipo akatangazia umma ili watu wachukue tahadhari ya kujikinga na kujilinda dhidi ya ugonjwa huo. Lakini kitendo hicho kilionekana kuwa chukizo kwa hayati magufuli akaamua kumfukuza kazi huku akimtuhumu kwamba anatumiwa na mataifa ya nje (mabeberu kama alivyopendelea kuwaita) bila ushahidi wowote wa kuthibitisha kauli yake hiyo.
Hata hivyo inasadikika kuwa kutumbuliwa kwa Dr mwele ulikuwa ni mwendelezo wa chuki binafsi ya hayati magufuli na familia ya malecela kwani hapo kabla aliwahi kumfuta kazi ya ukuu wa mkoa mama yake mwele( anne kilango malecela) kipindi cha sakata la watumishi hewa.
3. Dr Ave Maria Semakafu
View attachment 1755246
Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.
Alitumbuliwa kwa kosa la kutaka kuboresha elimu ambapo awali alitangaza kufuta mafunzo na ualimu wa cheti jambo ambalo Hayati Magufuli aliita ni uamuzi wa kipumbavu na baadaye akamfuta kazi.
Hata hivyo, Dkt. Semakafu alitumbuliwa kimakosa kutokana na sababu za kisiasa kwani kwa wakati huo kampeni zilikuwa zimepamba moto hivyo hayati magufuli alifikia uamuzi wa kumfukuza Dkt. Semakafu kama njia ya kujitafutia kura kwa wananchi ila suala la kuboresha elimu ni miongoni mwa sera zilizoko kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi(CCM) 2020-2025 ambayo hayati mwenyewe alizunguka kuinadi nchi nzima.
Na kufungwa jela kabisaKwa Dr Ave Maria Semakafu alistahili kufukuzwa
Sahihisho. Alipotoka DSM alikwenda Congo Brazaville ambayo ni Ofisi ya WHO Afro kwa mwaka mmoja. Kuanzia 2018 alipanda cheo na kuwa Mkurugenzi wa NTD (Neglected Tropical Disease) katika WHO huko Geneva Switzerland hadi leo. Kwa hiyo anaratibu shughuli za dunia nzima za namna ya kutokomeza magonjwa kama matende, mabusha, vikope nk ambayo Tanzania ni kati ya nchi zinazosumbuliwa sana na magonjwa haya.🤣 🤣 🤣 kabisa. Padri akakasirika, akapita na nafasi yake Katekista. Ikawa jioni, ikawa asubuhi. Mwele akajikuta anasomekea Benin kwenye shavu jipya. Akamwacha Padri akiendelea kuongea kwa povu ambalo si la nchi hii. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
OkPapaa mobimba a.k.a le mbebez atakuwa nje ya nchi akiendelea na matibabu. You know!
Mkuu, alikuwa anawagongea kwenye zile ziara zake za mikoani huko. Mwendazake alikuwa na maarifa mengi sana katika kutimiza UHALIFU wake.Najaribu kuwaza wale waliokuwa wanamkubalia anawagongea wapi na Yale maulinzi aliyokuwa nayo,.
Pia hakuwa na Yale maujanja ya watoto Wa mjini kama Uhuru kenyata na kikwete.
Mkuu salamaInaonekana alikuwa akichukia sana wanawake, na ikisemwa chinichini kuwa makamu wake zaidi ya mara moja alitaka kujiuzulu.