Hawa ni Viongozi waliotumbuliwa na hayati Magufuli kimakosa kwa sababu za kisiasa au chuki binafsi

Hawa ni Viongozi waliotumbuliwa na hayati Magufuli kimakosa kwa sababu za kisiasa au chuki binafsi

Machines ziko calibrated kupima vimelea vya binadamu. Ukipeleka chembe chembe zingine ambazo siyo vimelea vya binadamu kama mapapai na oil itakupa majibu yeyote na siyo majibu sahihi.

Sawa na mashine ya kusaga mahindi, inapaswa kukupa unga. Ila ukiweka mapapai usitegemee kupata unga, Ila unaweza kupata juice au takataka
Hapo sasa na ww umechemka Kama papai limetoa juice au takataka utasema kwa watu mashine imetoa unga ulitakiwa useme jamani imetoa kitu cha ajabu hapo watu watakuelewa eti ukisema mashine imetoa juice chafu watu watakuona nanga
 
ACHA UNAFIKI NA HUYO MAMA WA ELIMU MZEE HIVYO NAYE ALIMTONGOZA? KUWA NA HESHIMA NA ADABU PUMBAFU WEWEE
Kitendo cha kumtolea mfano huyo mama peke yake ni kiashiria kwamba hao wengine na wewe una wasi wasi kwamba pengine aliwatongoza wakamtosa
 
Kosa la Mwele lilikuwa dhahiri- akiwa Katekista akasoma injili wakati Padri yupo
🤣 🤣 🤣 kabisa. Padri akakasirika, akapita na nafasi yake Katekista. Ikawa jioni, ikawa asubuhi. Mwele akajikuta anasomekea Benin kwenye shavu jipya. Akamwacha Padri akiendelea kuongea kwa povu ambalo si la nchi hii. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
 
🤣 🤣 🤣 kabisa. Padri akakasirika, akapita na nafasi yake Katekista. Ikawa jioni, ikawa asubuhi. Mwele akajikuta anasomekea Benin kwenye shavu jipya. Akamwacha Padri akiendelea kuongea kwa povu ambalo si la nchi hii. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Mkuu kuwa katekista sehemu fulani inaweza kuwa bora zaidi kuliko kuwa mchungaji sehemu nyingine. Usilinganishe kuna vingine havilinganishwi
 
Na yule mzenji Dr. Amina aliyeingia nae top 3, yaani baada ya kura za maoni mpaka leo hajulikani yupo wapi. Halafu cha kufurahisha, Mwendazake akawa anamwambia Hussein Mwinyi asiwasahau wale wenzie 11 aliochuana nao kura za maoni. Mambo ya nyani haoni kundule
So sad. I hope Amina ni mzima. Kisa alionesha pia mapenzi kwa Lowassa. Na team Lowasa walimpigiakura na ni wengi. Usiniulize ni nani alishinda kihalali na kilichotokea😣😣😣😣😣
 
Acha uongo ilikuwa ni Zica...punguzeni uongo wana Jf
Kukosea siyo uongo. Just present it politely. Muhimu ni kinyongo kilitumika. Yako wapi sasa? Mungu ni fundi kuzidi mafundi wote duniani.
 
1. Dr. Nyambura Moremi
View attachment 1755243

Alikuwa ndiye mkurugenzi wa maabara ya taifa na fya ya jamii.

Alitumbuliwa kipindi janga la corona limepamba moto kwa kisingizio kwamba alipima sampuli ya ndege aina ya kware, mbuzi na mapapai vikakutwa na virusi vya corona.

Kimsingi, Dr Nyambura hakuwa na kosa bali alitimiza wajibu wake wa msingi kwa uweledi kulingana na taaluma yake kwa kuripoti majibu kadri ya kipimo kilivyoonyesha.

Itakumbukwa ni katika kipindi hicho hayati magufuli alitaka kuaminisha dunia kwamba nchi yetu haina ugonjwa korona kwahiyo hakuwa tayari kusikia taarifa yoyote juu ya uwepo wa ugonjwa huo. Hata hivyo baadae iligundulika vipimo vilivyotumika kupima sampuli vilikuwa na kasoro, hivyo Dr Nyambura alitumbuliwa kimakosa.

2. Dr Mwele Ntuli Malecela
View attachment 1755245

Alikuwa ni mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu(NIMR).

Kipindi kumeibuka na ugonjwa usiojulikana uliohusishwa na ugonjwa wa homa ya dengue jijini Dar es Salaam, Dr mwele chini ya taasisi aliyoiongoza(NIMR) walifanya utafiti wakagundua ni ugonjwa wa zika ndipo akatangazia umma ili watu wachukue tahadhari ya kujikinga na kujilinda dhidi ya ugonjwa huo. Lakini kitendo hicho kilionekana kuwa chukizo kwa hayati magufuli akaamua kumfukuza kazi huku akimtuhumu kwamba anatumiwa na mataifa ya nje (mabeberu kama alivyopendelea kuwaita) bila ushahidi wowote wa kuthibitisha kauli yake hiyo.

Hata hivyo inasadikika kuwa kutumbuliwa kwa Dr mwele ulikuwa ni mwendelezo wa chuki binafsi ya hayati magufuli na familia ya malecela kwani hapo kabla aliwahi kumfuta kazi ya ukuu wa mkoa mama yake mwele( anne kilango malecela) kipindi cha sakata la watumishi hewa.

3. Dr Ave Maria Semakafu
View attachment 1755246


Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.

Alitumbuliwa kwa kosa la kutaka kuboresha elimu ambapo awali alitangaza kufuta mafunzo na ualimu wa cheti jambo ambalo Hayati Magufuli aliita ni uamuzi wa kipumbavu na baadaye akamfuta kazi.

Hata hivyo, Dkt. Semakafu alitumbuliwa kimakosa kutokana na sababu za kisiasa kwani kwa wakati huo kampeni zilikuwa zimepamba moto hivyo hayati magufuli alifikia uamuzi wa kumfukuza Dkt. Semakafu kama njia ya kujitafutia kura kwa wananchi ila suala la kuboresha elimu ni miongoni mwa sera zilizoko kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi(CCM) 2020-2025 ambayo hayati mwenyewe alizunguka kuinadi nchi nzima.
Walitueliwa na nani?
 
Kipindi Cha jiwe.kilakitu kiliwezekana.kasoro kufufua wafu ndio ilikuwa ngumu.
 
Kipindi Cha jiwe.kilakitu kiliwezekana.kasoro kufufua wafu ndio ilikuwa ngumu.
Hivi Gwajiboy mfufua wafu hakuweza?

Nireteeni Gwajima, nireteeni Gwaaajima naomba nireeeeteeeeni Gwaaaajima mfufua wafu🤣🤣🤣🤣
 
1. Dr. Nyambura Moremi
View attachment 1755243

Alikuwa ndiye mkurugenzi wa maabara ya taifa na fya ya jamii.

Alitumbuliwa kipindi janga la corona limepamba moto kwa kisingizio kwamba alipima sampuli ya ndege aina ya kware, mbuzi na mapapai vikakutwa na virusi vya corona.

Kimsingi, Dr Nyambura hakuwa na kosa bali alitimiza wajibu wake wa msingi kwa uweledi kulingana na taaluma yake kwa kuripoti majibu kadri ya kipimo kilivyoonyesha.

Itakumbukwa ni katika kipindi hicho hayati magufuli alitaka kuaminisha dunia kwamba nchi yetu haina ugonjwa korona kwahiyo hakuwa tayari kusikia taarifa yoyote juu ya uwepo wa ugonjwa huo. Hata hivyo baadae iligundulika vipimo vilivyotumika kupima sampuli vilikuwa na kasoro, hivyo Dr Nyambura alitumbuliwa kimakosa.

2. Dr Mwele Ntuli Malecela
View attachment 1755245

Alikuwa ni mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu(NIMR).

Kipindi kumeibuka na ugonjwa usiojulikana uliohusishwa na ugonjwa wa homa ya dengue jijini Dar es Salaam, Dr mwele chini ya taasisi aliyoiongoza(NIMR) walifanya utafiti wakagundua ni ugonjwa wa zika ndipo akatangazia umma ili watu wachukue tahadhari ya kujikinga na kujilinda dhidi ya ugonjwa huo. Lakini kitendo hicho kilionekana kuwa chukizo kwa hayati magufuli akaamua kumfukuza kazi huku akimtuhumu kwamba anatumiwa na mataifa ya nje (mabeberu kama alivyopendelea kuwaita) bila ushahidi wowote wa kuthibitisha kauli yake hiyo.

Hata hivyo inasadikika kuwa kutumbuliwa kwa Dr mwele ulikuwa ni mwendelezo wa chuki binafsi ya hayati magufuli na familia ya malecela kwani hapo kabla aliwahi kumfuta kazi ya ukuu wa mkoa mama yake mwele( anne kilango malecela) kipindi cha sakata la watumishi hewa.

3. Dr Ave Maria Semakafu
View attachment 1755246


Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.

Alitumbuliwa kwa kosa la kutaka kuboresha elimu ambapo awali alitangaza kufuta mafunzo na ualimu wa cheti jambo ambalo Hayati Magufuli aliita ni uamuzi wa kipumbavu na baadaye akamfuta kazi.

Hata hivyo, Dkt. Semakafu alitumbuliwa kimakosa kutokana na sababu za kisiasa kwani kwa wakati huo kampeni zilikuwa zimepamba moto hivyo hayati magufuli alifikia uamuzi wa kumfukuza Dkt. Semakafu kama njia ya kujitafutia kura kwa wananchi ila suala la kuboresha elimu ni miongoni mwa sera zilizoko kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi(CCM) 2020-2025 ambayo hayati mwenyewe alizunguka kuinadi nchi nzima.
Kwa hiyo unataka kusema nini sasa???
 
🤣 🤣 🤣 kabisa. Padri akakasirika, akapita na nafasi yake Katekista. Ikawa jioni, ikawa asubuhi. Mwele akajikuta anasomekea Benin kwenye shavu jipya. Akamwacha Padri akiendelea kuongea kwa povu ambalo si la nchi hii. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Sahihisho. Alipotoka DSM alikwenda Congo Brazaville ambayo ni Ofisi ya WHO Afro kwa mwaka mmoja. Kuanzia 2018 alipanda cheo na kuwa Mkurugenzi wa NTD (Neglected Tropical Disease) katika WHO huko Geneva Switzerland hadi leo. Kwa hiyo anaratibu shughuli za dunia nzima za namna ya kutokomeza magonjwa kama matende, mabusha, vikope nk ambayo Tanzania ni kati ya nchi zinazosumbuliwa sana na magonjwa haya.
 
Najaribu kuwaza wale waliokuwa wanamkubalia anawagongea wapi na Yale maulinzi aliyokuwa nayo,.

Pia hakuwa na Yale maujanja ya watoto Wa mjini kama Uhuru kenyata na kikwete.
Mkuu, alikuwa anawagongea kwenye zile ziara zake za mikoani huko. Mwendazake alikuwa na maarifa mengi sana katika kutimiza UHALIFU wake.
 
Back
Top Bottom