Hawa ni wanaJF na kazi zao

Sasa hivi niko wizara ya Fedha...
 
Heheh

Scars anaskiza nyimbo ya mbishi wakati wenzake wanapiga mchele kimya kimya bila kwere....wana magari tele na majumba kama mbele
Hahahaha

Kwani hujaskia kua saizi hakuna cha dezo, serikali imetia msumari kwa wasanii kila nyenzo.../

Hali ngumu kwa wasanii mifuko imedolola, serikali haijali huko youtube kila video inatozwa dollar.../

Kidogo walicho nacho hakikidhi na bado mamlaka inawapola, huyu shetani hakimbiliki ebu tumuachie mola.../
 
[emoji1547]
 
Skia muanzisha uzi pancho boy

"Mwenye akili soma kiundani, mi nakupa dibaji...usishangae kuona kipato na hakilingani na mahitaji, vijana ndo nguvu kazi inayopotea kwa ubishoo...mihadarati na maradhi faradhi kwa majogoo

Sijisifu, ila kiukweli nipo tofauti na wengine waharibifu....ma broiler hawatafuti, zaidi ya uchaguzi na uchafuzi wa mazingira mjasiriamali jitume usingoje kupewa ajira"
 
Aseeh kumbe Niki mbishi upo huku mzee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…