Hawa ni wanaJF na kazi zao

Hawa ni wanaJF na kazi zao

Hapa nina orodha ya baadhi ya wanaJF na kazi ambazo zinawafiti...

Asprin - mstaafu TRA

Chief - mkwawa (IT)

FaizaFoxy - mstaafu hapo Lumumba.

Kiduku Lilo -
Lucas Mobutu
troublemaker
GENTAMYCINE
GuDume
Chizi Maarifa
(Hawa ni matapeli wa warembo wanakula sana bia)

cocastic - beki 3
Jael - mama wa nyumbani
Khantwe - manager hotelini
Daudi Mchambuzi - polisi.
Don Clericuzio - mchambuzi wa soka.
yuzazifu - yupo kwao anakaa.
Zero IQ - mjasiriamali.
juma mpemba - jambazii.

Extrovert - sound engineering mlevi.
Mshana Jr - huyu anajulikana..
amu - ana duka la nguo

Mama Debora - haaminiki tapeli tapeli ..
Saint Anne - nesi ( japo ni mbishi sana)
Behaviourist - anakaa kwa mjomba wake ,mpenda chura.
GODZILLA - mwanasheria ,ana mikwara mingi.
Kiranga - doctor ,mbishi
miss chagga - ukiwa na hela tu akicheka huna
Saint Ivuga - muongo muongo
Hannah kazi yake ni kunipenda ,wife material

Msinifokeee
Sasa hivi niko wizara ya Fedha...
 
Heheh

Scars anaskiza nyimbo ya mbishi wakati wenzake wanapiga mchele kimya kimya bila kwere....wana magari tele na majumba kama mbele
Hahahaha

Kwani hujaskia kua saizi hakuna cha dezo, serikali imetia msumari kwa wasanii kila nyenzo.../

Hali ngumu kwa wasanii mifuko imedolola, serikali haijali huko youtube kila video inatozwa dollar.../

Kidogo walicho nacho hakikidhi na bado mamlaka inawapola, huyu shetani hakimbiliki ebu tumuachie mola.../
 
Hahahaha

Kwani hujaskia kua saizi hakuna cha dezo, serikali imetia msumari kwa wasanii kila nyenzo.../

Hali ngumu kwa wasanii mifuko imedolola, serikali haijali huko youtube kila video inatozwa dollar.../

Kidogo walicho nacho hakikidhi na bado mamlaka inawapola, huyu shetani hakimbiliki ebu tumuachie mola.../
[emoji1547]
giphy.gif
 
Hahahaha

Kwani hujaskia kua saizi hakuna cha dezo, serikali imetia msumari kwa wasanii kila nyenzo.../

Hali ngumu kwa wasanii mifuko imedolola, serikali haijali huko youtube kila video inatozwa dollar.../

Kidogo walicho nacho hakikidhi na bado mamlaka inawapola, huyu shetani hakimbiliki ebu tumuachie mola.../
Skia muanzisha uzi pancho boy

"Mwenye akili soma kiundani, mi nakupa dibaji...usishangae kuona kipato na hakilingani na mahitaji, vijana ndo nguvu kazi inayopotea kwa ubishoo...mihadarati na maradhi faradhi kwa majogoo

Sijisifu, ila kiukweli nipo tofauti na wengine waharibifu....ma broiler hawatafuti, zaidi ya uchaguzi na uchafuzi wa mazingira mjasiriamali jitume usingoje kupewa ajira"
 
Skia muanzisha uzi pancho boy

"Mwenye akili soma kiundani, mi nakupa dibaji...usishangae kuona kipato na hakilingani na mahitaji, vijana ndo nguvu kazi inayopotea kwa ubishoo...mihadarati na maradhi faradhi kwa majogoo

Sijisifu, ila kiukweli nipo tofauti na wengine waharibifu....ma broiler hawatafuti, zaidi ya uchaguzi na uchafuzi wa mazingira mjasiriamali jitume usingoje kupewa ajira"
Aseeh kumbe Niki mbishi upo huku mzee?
 
Back
Top Bottom