Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you serious?1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Umeongea fact mkuuIko wazi . Kwa kiasi kikubwa sisi Wabongo tunajifunza Kiingereza hasa shuleni, so mtu anapozidi kwenda elimu ya juu zaidi ndivyo anavyopata exposure zaidi . Ndio maana mtu aliyesoma mpaka chuo asipojua Kiingereza inaonekana tatizo, Wakati yule aliyeishia msingi inaonekana kawaida TU. Mataifa mwingine hiyo ni lugha TU wanayotumia kuwasiliana kama hapa Kwetu Kiswahili, so hata asiyekwenda shule anaongea TU.
Profesa Ndalichako vipi...1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Ila samia kazidi, yaani anavyoyatamka maneno kwa ulaini kama kazaliwa pale mtaa wa kumi-Downing kwa bibi Eliza1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Orodha itakosa watu.Usiweke orodha ya waliozaliwa nje ya nchi au waliokaa nje muda mrefu. Weka wale tu waliozaliwa hawajui lugha hiyo wakajifunza ukubwani mpaka wakaijua vema kuiongea lugha hiyo, yaani wale waliojifunzia sekondari zilizoandikwa SPEAK ENGLISH ONLY
Mbowe yuko vizuri. Nilimsikia akihojiwa na BBC... Ni noma. Jokate kazaliwa USA ni mtoto wa Diplomat. Ni binti anayejua vyema ingredients za burger na pizza kuliko vitumbua na kashata.Hapo naona ni rais samia na lissu tu ndio wanaojua kukitafuna kiingereza vema. Mbowe na joketi sijawahi kuwasikia wakiongea kiingereza, hao wengine wakiongozwa na mchomvu umewaoresha ili kufurahisha genge tu.
Mimi ni maarufu ndioWewe sio mtu maarufu. Labda tukiweka orodha ngazi ya kitongoji ulichopo. Hii list hapa ni ya kitaifa.
Ninashukuru kwa maoniMmh
Mtoe namba one na JK hapo, ukiacha unafki hao wa2 kizungu chao cha kawaida saana!
Sio maarufu.Mleta mada (hata kama ni ya kitoto) lakin hivi una uhasama gani ka malaika, Abgail Chams, hadi kakakosa humo?
1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Mwigulu duuh ulimi mzito hata kuongea kiswahili 🤣🤣🤣1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu