Cecil J
JF-Expert Member
- Oct 12, 2023
- 434
- 1,024
Huo ni mtazamo wa muandaaji wa huu uzi.Mleta mada (hata kama ni ya kitoto) lakin hivi una uhasama gani ka malaika, Abgail Chams, hadi kakakosa humo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mtazamo wa muandaaji wa huu uzi.Mleta mada (hata kama ni ya kitoto) lakin hivi una uhasama gani ka malaika, Abgail Chams, hadi kakakosa humo?
Wewe kiingereza chako ni kama cha waandishi wa Tanzania.1. Mimi
2. Mariam professional wa Events Management alikuwa TTB sasa hivi yuko Wizarani MNRT
3. Balozi Dr. Asha Rose Migiro
4. Gilly Terry wa TIC
5. Faraja Kota
6. Nancy Summary
7. Sylvia Bahame
8. Wema Sepetu
9. Gwamaka Host wa Chuo cha Uongozi mtoto wa Mwenyekiti wa Yanga SC hapo zamani
10. Mhe. Amina Amina Salum Ally Znz
11. Waziri wa Fedha enzi za Kikwete Mdada
12. Vipanga wenzangu wote enzi zetu tuliitwa Wakali wa Morning Speech mbele ya umati Assembly Ground
Ukibisha chukua coca cola ntalipa
Abigael Chams1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Uzi tayari.1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Adam Mchomvu huyu huyu ninayemfahamu mimi au adam mwingine1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
uyo naye cha mtoto kwa late Mwl Nyerere .No one like the late Benjamin Mkapa
Alikuwa vizuri sana BTW kujua lugha hiyo ndiyo kumaanisha?
Ndiyo. Huyo unayemfahamuAdam Mchomvu huyu huyu ninayemfahamu mimi au adam mwingine
Mwalimu hakuwa na accent nzuri kama Mkapa.uyo naye cha mtoto kwa late Mwl Nyerere .
Siku za hivi karibuni umekuwa ukijibu hoja za watu kwa mistari isiyozidi mitatu, shida nini Bw.Mshamba? Au umeanza kuchoka kuandaa magazeti 😂😂😂😂Gen X bwana
mko busy mnaringishiana vizungu
ni lugha tu jamani
najitahidi kuandika comments zilizo rahisi kuelewekaSiku za hivi karibuni umekuwa ukijibu hoja za watu kwa mistari isiyozidi mitatu, shida nini Bw.Mshamba? Au umeanza kuchoka kuandaa magazeti 😂😂😂😂
Naunga mkono hojaKama nyani ngabu na kiranga hawapo bas napinga
😹😹😹 ila bro unanifurahishaga sana, nikiingia nisiposoma comments zako bado sihisi km nipo JF 🤣Kwenye list ambayo inaongozwa na Samia usiniweke
Nakuona nakuona,😹😹😹 ila bro unanifurahishaga sana, nikiingia nisiposoma comments zako bado sihisi km nipo JF 🤣
Matako kweli unajua kiingereza kilichonyoka wewe1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Ndugu una uhakika wa hata milo miwili kwa siku?Matako kweli unajua kiingereza kilichonyoka wewe
Kuna namna unamwaga fact huku inaingia kwenye kuchekesha basi mi burudaniii..!! 🤣Nakuona nakuona,
Nafurahi kukufurahisha.
Uzuri imetokea tu hata sijalenga kufurahisha mtu nimelenga kusema ukweli ninavyoujua mimi tu hivyo kama unakufurahisha basi wewe mtu wangu naturally na effortlessly.
One love.