pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
kama huyo pichani ndio mkeo hakika hatutamuoa..π€£Kuna mtu anapigiwa mnada nyumba/Mali zake?
Cha mtu mavi mazeeππkama huyo pichani ndio mkeo hakika hatutamuoa..
Hata wapiga makelele stendi eti wanatangaza neno la Mungu nao waangaliwe.Kwenye maokoto watu hawajali nini Wala nini
Hamna, wanafungua accunt kwa 1000Kuna mtu anapigiwa mnada nyumba/Mali zake?
Wala sidaiwi ila wanafungulua watu account kwa tsh 1000, inchi hii ccm itatawala mpaka kiyamaMadeni na makelele ni vitu viwili haviendani.
Lipa madeni ya watu mzee
πππWala sidaiwi ila wanafungulua watu account kwa tsh 1000, inchi hii ccm itatawala mpaka kiyama
Kabisa mkuu, kila mahali ni fujo tu kwa kisingizio cha utaftajiHata wapiga makelele stendi eti wanatangaza neno la Mungu nao waangaliwe.
AiseeππMadeni na makelele ni vitu viwili haviendani.
Lipa madeni ya watu mzee
Wanafanya promotion ya kufungua akaunti kwa tsh 1000Kwenye maokoto watu hawajali nini Wala nini
UpigajiWanafanya promotion ya kufungua akaunti kwa tsh 1000
ππππππ€£π€£π€£π€£π€£
Wanasumbua raia mitaani kwa nyimbo na kelele kisa 1000,
Hii benki imeyumba tayari
Au ni hela zinapigwa?
Kabisa, upigaji uliotukukaUpigaji