MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #21
😄😄 Aisee Masau Bwire nimemsahau..Kuna
1.Jose mara
2.Mussa hussen
3.Edga kibwana
4.Masau bwire
Ila Mwijaku naona kama anaforce vile watu wacheke na wasipo cheka ananuna😒
Anauliza umepanuka Wapi?😄😄 Aisee Masau Bwire nimemsahau..
kula sana ndondo mzee mixer karoti kwa wingiOngezea.
10. Mzee Makamba
11. RC Chalamila
12. Agrrey Mwanri
ChaiHawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.
1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. RC Chalamila
4. RC mstaafu Aggrey Mwanri
5. Ommy Dimpoz
6. Mheshimiwa Kishimba
7. Babalevo
8. Mheshimiwa Kibajaji
9. Mwijaku
10. Komredi Godbless Lema
11. Mheshimiwa Bwege
12. Mchungaji Mgogo
13. Mchungaji Hananja
14. Masau Bwire
KunywaChai
Ni Bwege aliyekuwa mbungeKuna yule wa weeee ulisikia wapi?........Maji ni tatizo unalala na mkeoooo halafu Maji hakuna weeeee ulisikia wapi...
Hahahaulivokua mjinga Godbless Lema unamuweka kundi la comedy.alivokwambia bodaboda ni tatizo kwa taifa kwa hiyo wewe ulicheka ulivo bwege
Mimi mwenyewe namshangaa mleta mada,eti mwijaku!!!! Yule jamaa ana force sana mambo licha tu kuwa analazimisha kuchekesha ila hata kuongea tu hajui,anaongelea puani mara mia ungemuweka dakta pimbi muonekano wake tu umekaa kichawa chawa[emoji23][emoji23] unacheka tu kumuona hata asipoongeaKama ukichekeshwa na Mwijaku inabidi upimwe akili.